Unazikumbuka timu za mtaani enzi hizo?

pia ilikuwepo moja inaitwa mjomba ni mama fc sijui ilikua inaotokea wapi ile timu ...nimesahau,na nyingine sentano haichenjiki.
 
Kuna Arusha ilikuwa inaitwa WAYA MKALI wengi walikuwa ni masela na wapigaji wa kitu cha aruchaga hawa jamaa walikuwa ni noma sana.
Waya mkali dah umenikumbusha mbali maplayer wake kina king kola, mbalula wengi walikuwa wauza mitumba soko la kilombero kipindi hicho mi ndo dogo nabeba mipira na viatu vya kipa wao kauka wimbo wao ulikuwa zigirawanya winya winya wanya winya waya winya*2 timu zingine za arusha zilikuwa mandela ya soweto uwanja wa chuma, saddam ya watoto wa kiarabu, golden kids ya pangani,morani ya polisi, tejo ranger, fresh ya unga ya unga limited mechi kombe la mbuzi uwanja wa relini
 
Mtaan kwe2 kulikua na tim mbili2 moja ilikua inaitwa BUSH STARS ingne ni BONTOWN yaan ilikua matus mwanzo mwisho.
 
Nshakipiga Panama Fc Mtoni kwa Azizi Ally 1996. Pale nyuma ya uwanja wa Taifa kulikuwa na Likwati FC watoto wa Temeke wailesi nao walikuwa wazuri si haba.
Duh! Kuna jamaa alikuwa anaitwa Mungi Said Muonekano wake wa Kizembe lakini alikuwa anafunga magoli balaa Kuna Mechi jamaa alikuwa kafiwa na Panama Inacheza huku hali mbaya wamezidiwa Lakini akaja kuwahi mechi kabla haijaisha na lipoingia Alifunga magoli Mawili Safi Sijui huyu jamaa sijui aliishia Wapi? kulikuwa na Ligi ya Watoto kule lakini timu zote zimekodi Majeshi Kina Omera, Tom Mashalah na Wengine Wengi wa Ligi Kuu
 
Waya mkali dah umenikumbusha mbali maplayer wake kina king kola, mbalula wengi walikuwa wauza mitumba soko la kilombero kipindi hicho mi ndo dogo nabeba mipira na viatu vya kipa wao kauka wimbo wao ulikuwa zigirawanya winya winya wanya winya waya winya*2 timu zingine za arusha zilikuwa mandela ya soweto uwanja wa chuma, saddam ya watoto wa kiarabu, golden kids ya pangani,morani ya polisi, tejo ranger, fresh ya unga ya unga limited mechi kombe la mbuzi uwanja wa relini
Mkuu Timu ya Born City Vipi!! kuna kipindi walikuwa Wanacheza Mafather Kina Rashid Chama..., Pia Yule Marehemu Francis Rungu na Wengine Wengi majina Siyakumbuki
 
Upanga Kulikuwa na Timu Inaitwa Barbos ilishawahi kushiriki daraja la nne ... sikuifuatilia sana kama ilifanikiwa kupanda madaraja but mwishowe ilikufa kibudu...

Pia Super Star nayo ilikuwa haijambo ila ilipotea hafla nilikuwa naipenda sana kina ahmed amasha na wengineo kulikuwa na mchezaji mmoja Bonge na mfupi jina lake nililisahau akiwekwa benchi tu anasinzia huku kakaa dah! alikuwa ananishangaza sana!..

City Centre pale Jamhuri Primary Kulikuwa na Timu Inaitwa Jamhuri FC ilikuwa inapanda madaraja na kushuka la nne na tatu hadi ikapotea lol
 
Kizuian kulikuwa na timu 1. ikiitwa BOCA JUNIOR, hii ilidhaminiwa na watoto wa mzee UNGAUNGA (AMWENYE) aliyekuwa tajiri wakati huo akiogopwa kizuiani mzima! siku timu inacheza utake usitake utachangia chama, utakabwa mchana mchana kwa kisingizio cha kuchangia chama! wapinzani wao wakubwa ni SURURERE ya kiburugwa (kama sijasahau) wimbo wa BOCA JUNIOR wa ushindi dhidi SURURERE, "HAO MASURURERE MISIKITI GANI_HAINA MADIRISHA_PANGENI MSURURU SURURERE WAANZE KUSWALISHA_JAMANI BOCA, MZIKI MKUBWA MTAMBO WA RIMOTI"
 
ni nowmer.
Ila mbinu hizo waasisi wake ni watoto wa Keko Gerezani.
Unajua wale Rashid Matumla amewaathiri sana wale vijana, kila kijana wa Keko anapiga boxing siku hizi...


Yaweza kuwa kweli.
 
Duh! Timu ya kitaani kwetu ilikuwa ni Faru Dume na hii ilitokanana kugawanyika kwa timu ya Faru na ikatokea Faru ya Buguruni ya Faru Dume ya Manzese. Ezni hizo za kina Tabisheni, Ally Bugo, Nyamanzi, Mbumba,Shomvi na wengineo kibao, wapinzani wakubwa walikuwa ni Sifa Politan ya Tandale.
 
Friends Corner Rangers
Kagera Rangers
Faru Dume
Ashanti
Boom FC

- before 1995, mechi between hizi timu, ilikuwa balaa tupu!
 
Nakumbuka Katika magazeti ya Chama nilikuwa napenda kutizama msimamo wa ligi Daraja la Tatu kulikuwa na timu ya Jeshi inaitwa New Kenda hi Daraja la Tatu lilikuwa ni lake
 
Sinza star-Sinza
Faru Dume
Wacheche-Ilala
shada-Kinondoni
Wagadao-hawa walikuwa watoto wa kishua mitaa ya Ada estate walikuwa wanapiga soka kama wamelogwa walikuwa wanajichanganya na watoto wa uswahilini kucheza mechi,yaani wakija uwanjani karibu timu nzima inadrive gari,namkumbuka sana Iddy Janguo alikuwa anachezea timu hii!!!
 
Rover ya Msimbazi
Kiyungi ya Magomeni
Police ya Magomeni Police
ocd Gangwe Magomeni Kagera
 
Sinza star-Sinza
Faru Dume
Wacheche-Ilala
shada-Kinondoni
Wagadao-hawa walikuwa watoto wa kishua mitaa ya Ada estate walikuwa wanapiga soka kama wamelogwa walikuwa wanajichanganya na watoto wa uswahilini kucheza mechi,yaani wakija uwanjani karibu timu nzima inadrive gari,namkumbuka sana Iddy Janguo alikuwa anachezea timu hii!!!

Sinza Stars ni ya Sinza Madukani.....Abajalo ndio ya Sinza
 
Waya mkali dah umenikumbusha mbali maplayer wake kina king kola, mbalula wengi walikuwa wauza mitumba soko la kilombero kipindi hicho mi ndo dogo nabeba mipira na viatu vya kipa wao kauka wimbo wao ulikuwa zigirawanya winya winya wanya winya waya winya*2 timu zingine za arusha zilikuwa mandela ya soweto uwanja wa chuma, saddam ya watoto wa kiarabu, golden kids ya pangani,morani ya polisi, tejo ranger, fresh ya unga ya unga limited mechi kombe la mbuzi uwanja wa relini

UMEWAACHA boma,home boys NA jamhuri -
 
Duuh! Watu wa Mbeya mnaikumbuka Kifamba Fc ya pale uporoto kwa walima viazi.
 
Back
Top Bottom