Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Miko Villa pande za Mikocheni.
Kwa Sinza,kama baadhi ya wadau walivyosema kulikua na upinzani wa Abajalo (watoto wa Sinza Makaburini,kwa Remmy,Vatican,Palestina) na Sinza Stars(watoto wa Mori,Mapambano hadi Afrikasana). Jamaa walikua wapinzani kweli,pale uwanja wa shule ya msingi Mashujaa ilikua balaa na varangati.
Mpira ukiisha,jioni wachezaji wanakua wakabaji! Duh! Kweli ndondo noma.
Kwa Sinza,kama baadhi ya wadau walivyosema kulikua na upinzani wa Abajalo (watoto wa Sinza Makaburini,kwa Remmy,Vatican,Palestina) na Sinza Stars(watoto wa Mori,Mapambano hadi Afrikasana). Jamaa walikua wapinzani kweli,pale uwanja wa shule ya msingi Mashujaa ilikua balaa na varangati.
Mpira ukiisha,jioni wachezaji wanakua wakabaji! Duh! Kweli ndondo noma.