😂😂hapo je?👇Tuna comment wapi sisi tulio kua tunasikiliza vipindi vya pwagu na pwaguzi, mzee jangala na jongo...??
Enzi zetu ni RTD hata Tv hazijakuja...
Umenikumbusha mbali mkuu...😂😂hapo je?👇View attachment 2180505
Enzi zile zilikua ni sinema za samsoni na delila, kuzaliwa kwa yesu na mamajusi, rambo nkKwan kwenye majumba ya sinema enzi hizo mlikuwa hamuwekewi katuni?
Kwenye nyumba za kulea wazeeTuna comment wapi sisi tulio kua tunasikiliza vipindi vya pwagu na pwaguzi, mzee jangala na jongo...??
Enzi zetu ni RTD hata Tv hazijakuja...
Kuna the stonesZilitukuza enzi hizo mimi na jamaa zangu tulikuwa tuna ratiba nzima. Ilikuwa kila siku za juma3 had ijumaa kuanzia saa 15:00H - 18:00H channel 10, tv Mozambique, TIM, ITV na Agape TV walitupa burudani wapenz wa cartoons.
Acha leo nikumbushie cartoon zangu za enzi hizo nakuwa:-
👉Pink and the brain
View attachment 2180459
👉Courage the Cowardly Dog
👉Dexter's Laboratory
👉Ed, Edd n Eddy
humu kuna moja kati ya character mjinga kuwai kutokea kwenye ulimwengu wa animation😂😂😂
👉The Powerpuff Girls
👉johnny bravo
mwili mkubwa nguvu kisoda
👉double dragon.
👉Ben 10:
hii ilikuwa moto hasa ile ya kwanza inayowaonesha kabla hawajawa wakubwa
kevin ndio alikuwa villian character aliyekuwa anamsumbua sana ben10 kwan alikuwa anauwezo wa kutumia had styles 4 za ben10 kwenye umbo moja.
👉popeye and son
wazee wa kula spinach ili kuwa na nguvu.
👉superbook bible stories
hii ilikuwa nzuri kwa watoto. Ilihusu matukio ya kwenye biblia.
👉Tom and Jerry
👉galactik football
humu kuna chenga na rafu za hatari.
👉Robotboy
👉megas xlr
👉Totally Spies
👉codename Kids Next Door
👉the life and times of juniper lee
👉Code Lyoko
😂😂😂 nimechekaaaUmenikumbusha mbali mkuu...
Nikiwahi kumuandikia mwali kabarua, kisha akakapeleka kwa mwalimu wa darasa na kesho yake nikaambiwa nikasome hako kabarua mstarini....😜
Weee hakuna rangi yenye niliacha kuiona kwa kipigo...😂
Ila zinazotoka siku hizi ni za ovyo mno sio kama zile za zamanKaka zangu Sana wa faida.
HAKUNA Kama Hawa na hawatakuja kuwepoView attachment 2180646
Alaf kuna movie moja ya action ya zaman walitoa kama hao nyan had kuchomeka chanuo kwenye nywele yan.Chop socky chooks hii wanapamabana sana na wale nyani kama watu iko poa kuna mchina kuna demu wako kama watatu au wanne kitambo sana
ndio hyo katuni yake sasa noma yule mchina kwa kula carrotAlaf kuna movie moja ya action ya zaman walitoa kama hao nyan had kuchomeka chanuo kwenye nywele yan.