Unazikumbuka hizi cartoon?

Patra31

JF-Expert Member
Apr 24, 2020
6,752
13,401
Zilitukuza enzi hizo mimi na jamaa zangu tulikuwa tuna ratiba nzima. Ilikuwa kila siku za juma3 had ijumaa kuanzia saa 15:00H - 18:00H channel 10, tv Mozambique, TIM, ITV na Agape TV walitupa burudani wapenz wa cartoons.

Acha leo nikumbushie cartoon zangu za enzi hizo nakuwa:-

👉Pink and the brain


👉Courage the Cowardly Dog



👉Dexter's Laboratory



👉Ed, Edd n Eddy

humu kuna moja kati ya character mjinga kuwai kutokea kwenye ulimwengu wa animation😂😂😂

👉The Powerpuff Girls



👉johnny bravo

mwili mkubwa nguvu kisoda

👉double dragon.



👉Ben 10:

hii ilikuwa moto hasa ile ya kwanza inayowaonesha kabla hawajawa wakubwa

kevin ndio alikuwa villian character aliyekuwa anamsumbua sana ben10 kwan alikuwa anauwezo wa kutumia had styles 4 za ben10 kwenye umbo moja.

👉popeye and son

wazee wa kula spinach ili kuwa na nguvu.

👉superbook bible stories
hii ilikuwa nzuri kwa watoto. Ilihusu matukio ya kwenye biblia.

👉Tom and Jerry


👉galactik football

humu kuna chenga na rafu za hatari.

👉Robotboy





👉megas xlr



👉Totally Spies



👉codename Kids Next Door



👉the life and times of juniper lee



👉Code Lyoko
 
Kuna the stones
 
bado camp lazo kuchekesha noma

Bakugan hii ni battle napenda dragon anamilikiwa na dogo mmoja ivi wana kama chip za kuingia kweny uwanja wa kupambanisha izo toys zao hata kama wako barabarani kuna maneno wanasema basi wanarusha kama wanaingia sehemu nyingine wanarusha zile vi toy kama kete za duara basi zinatokea mnyama mkubwa wanapambana

Chop socky chooks hii wanapamabana sana na wale nyani kama watu iko poa kuna mchina kuna demu wako kama watatu au wanne kitambo sana


ila ben tena kipind icho saa nne channel ten noma sana nampenda lile kubwa linaitwa Humungosaur lina nguvu grand max na yule dada yake Gwen baada walivyokuwa wakubwa akaongezeka yule kelvin akishika chuma mwili unakuwa chuma
 
Chop socky chooks hii wanapamabana sana na wale nyani kama watu iko poa kuna mchina kuna demu wako kama watatu au wanne kitambo sana
Alaf kuna movie moja ya action ya zaman walitoa kama hao nyan had kuchomeka chanuo kwenye nywele yan.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…