Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,574
- 3,030
Ni swali tu,
Biblia inasema katika kitabu Cha waefeso 6:3-1 Enyi watoto watiini wazazi wenu katika Bwana.Waheshimuni wazazi wenu Kwa kuwa hii ndyo amri ya kwanza Yenye ahadi.
Lakini pia Inaendelea kusema
Nanyi wazazi muangalie msiwakere watoto wenu Kwa kuwasababishia wakasirike.
Swali ni hili,
Kwanini wazazi wengine Bado wanawafuatilia watoto wao ambao wamekuwa watu wazima tayari na wameshaoa.
Swali lingine,
Kwanini wazazi wengine hawataki kumruhisu mtoto{ Mwanaume) kwenda kutafuta maisha baada ya kumaliza degree.Tatizo ni nini mtu anamaliza degree anakaa nyumbani hata Miaka mitano.
Biblia inasema katika kitabu Cha waefeso 6:3-1 Enyi watoto watiini wazazi wenu katika Bwana.Waheshimuni wazazi wenu Kwa kuwa hii ndyo amri ya kwanza Yenye ahadi.
Lakini pia Inaendelea kusema
Nanyi wazazi muangalie msiwakere watoto wenu Kwa kuwasababishia wakasirike.
Swali ni hili,
Kwanini wazazi wengine Bado wanawafuatilia watoto wao ambao wamekuwa watu wazima tayari na wameshaoa.
Swali lingine,
Kwanini wazazi wengine hawataki kumruhisu mtoto{ Mwanaume) kwenda kutafuta maisha baada ya kumaliza degree.Tatizo ni nini mtu anamaliza degree anakaa nyumbani hata Miaka mitano.