Unawezaje kuamrisha watendaji wa kivuko cha MV Nyerere wachukuliwe hatua kali wakati walitoa tahadhari kuwa kivuko hicho kibovu hawakusikilizwa?

Habari kubwa inayotrend ndani ya nchi yetu hivi sasa na nje ya nchi ni kuzama kwa kivuko cha MV Nyerere kilichokuwa kikifanya safari zake huko Ukerewe katika ziwa Victoria na kusababisha vifo vya watanzania wasio na hatia zaidi ya 130

Tumemsikia Rais wetu Magufuli kama kawaida yake akiagiza kwa ukali kabisa, hatua Kali zichukuliwe kwa wote waliohusika na uzembe huo hadi kusababisha maafa hayo makubwa kwa nchi yetu

Lakini pia kuna clip moja inayotrend humu mtandaoni kwa hivi sasa ikimuonyesha Mbunge wa Ukerewe kwa tiketi ya Chadema, Joseph Makundi, akilalamika wakati huo Bungeni kuwa kivuko cha MV Nyerere ni kibovu na akaendelea kueleza kuwa aliwasiliana na Waziri wa uchukuzi kwa kipindi kirefu kumweleza tatizo hilo lakini hajasikilizwa, akaendelea kueleza kuwa au ndiyo inasubiriwa kizame kivuko hicho ndiyo waje hapo Bungeni kuchangishana pesa ya rambirambi? Mwisho wa kunukuu

Na kweli hivi sasa utabiri huo umetimia kwa kivuko hicho kuzama na kama alivyoeleza Mheshimiwa Mbunge huyo kuwa sasa ndiyo tuko "busy" kuchangishana pesa ya rambirambi!

Hebu tujiulize kama Taifa ni kweli tunatoa kipaumbele katika vitu vya muhimu kwa Taifa letu?

Au ndiyo tunatoa kipaumbele katika vitu anavyohitaji Mheshimiwa "Mfalme" vipewe kipaumbele?

Hapo ndipo tulipofika kama Taifa, wapo watu watakuwa "victimized" katika tukio hili wakati UKWELI unajulikana kuwa kama Taifa tumeachana na kutoa kipaumbele katika vitu ambavyo kama Taifa tunapaswa kuvipa kipaumbele

RIP wote waliokumbwa na mkasa wa kuzama kwa MV Nyerere huko ziwa Victoria
Ungefuatilia historia ya hiko kivuko sidhani kama ungeandika jinsi hii, kupinduka kwa kivuko sababu kuu ni kuzidisha mzigo zaidi ya mara tatu..!! sababu ya pili ni watu kukimbilia mbele ili wawe wa kwanza kushuka, hii sababu ya pili ndio ilifanya kivuko kizidiwe uzito kwa mbele hatimae kibinuke. pia lazima ifahamike katika uundwaji wa meli na vivuko huwa wanaunda kwa kubalance chombo endapo kutakua na ongezeko la mzigo na balance ya chombo kwenye u dharura. kwa picha hiyo nafikiri Unaweza kujenga picha jinsi kivuko hicho kilivyokua kimezidiwa na mzigo.
 
Mkuu Unprejudiced, mbona Povu jingi linakutoka??

Hivi hujaona namna serikali hii ya CCM inavyotoa kipaumbele kwa vitu "petty" na vile "serious" wanavipuuzia??
Na humu kwenye kundi la Great Thinkers hatutaki matusi, matusi yapelekwe kule FaceBook na Lumumba, hapa ni Hoja kwa Hoja
 
G4rPolitics, nani amekwambia watendaji wa serikali waweza kutoka chama chochote cha siasa ?, si tumemsikia Jiwe akisisitiza kwamba watendaji wote wa serikali ni lazima wajionesha hadharani wanatumikia ccm
Swali langu ni hiyo “kike kike” tu mkuu!
 
Ungefuatilia historia ya hiko kivuko sidhani kama ungeandika jinsi hii, kupinduka kwa kivuko sababu kuu ni kuzidisha mzigo zaidi ya mara tatu..!! sababu ya pili ni watu kukimbilia mbele ili wawe wa kwanza kushuka, hii sababu ya pili ndio ilifanya kivuko kizidiwe uzito kwa mbele hatimae kibinuke. pia lazima ifahamike katika uundwaji wa meli na vivuko huwa wanaunda kwa kubalance chombo endapo kutakua na ongezeko la mzigo na balance ya chombo kwenye u dharura. kwa picha hiyo nafikiri Unaweza kujenga picha jinsi kivuko hicho kilivyokua kimezidiwa na mzigo.
Hicho kivuko hakikupindukia mbele (eti baad ya watu kukimbilia mbele wawahi kushuka) bali kilipinduka kwa upande (side), kwanini Viongozi wasiwajibike ?, na kama hawawajibiki basi aliyewateua (rais) Ajihoji yeye
 
Baada ya uyo mbunge kulizungumzia ilo tatizo, serikali sikivu ya JPM ilinunua injini mpya na ilifungwa kwenye icho kivuko. Baadhi ya mashuhuda wamesema kivuko kilikua na mzigo kupita uwezo wake ukichukulia ilikua siku ya gulio/mnada. Kwaiyo ni uzembe wa wanao kisimamia kivuko. Ata kama meli/ boti/ kivuko kikiwa kipya mkizidisha mizigo kuliko uwezowake ilo linaweza tokea. Mv Bukoba ilikua hivyo, Mv Spice ilikua ivyo. Vivuko/ Meli vinabeba watu wengi kila mtu anataka kuwai aendapo.

Hivi gulio hilo mnalolisema lilikuwa maalumu kwa siku hiyo ya ajali tu?

Si kwamba gulio hilo huwa lipo kila alhamisi kila wiki?

Je, si kwamba kivuko nacho hufanya safari zake ktk siku hiyo ya gulio pia kila wiki?

Iweje hoja ya gulio iwe sababu kana kwamba gulio hilo ndo lilipandishwa maalumu siku hiyo toka kuzimu kuja kuondoa roho za watu hawa ili iwe sababu ya wahusika kujijitetea?

Gulio siyo sababu. Kujaza watu na mzigo kuliko uwezo wa kivuko ndiyo ilikuwa ni utamaduni wa kawaida......lakini utamaduni mbaya ulio kinyume cha utaalamu na maadili ya kazi huku vyombo na mamlaka husika zikibariki!!

Sababu ni moja tu. Uzembe na kutojali. Mengine yote ni utetezi dhaifu usio na mashiko.

Mamlaka husika na wahusika mmoja mmoja wawajibike, walipie gharama za roho za watu hawa waliokufa kwa kukubali makosa na kutubu kuanzia Rais Magufuli hadi walio chini yake......

Kinyume chake, ni kuwa nao wajiandae kufa tu, maana inaeleweka kabisa kuwa Karma hainaga utani. Is irreversible.

Na tukumbuke kuwa siku zote MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI. Ukiua kwa upanga, nawe hakika utakufa kwa upanga vivyo hivyo!
 
dU, NIMEMSIKIA HUYU MBUNGE. SINA CHA KUONGEZA. TUNACHOTAKIWA NI KUISAMBAZA VIDEO HII ILI WATANZANIA WOTE WANAOTUMIA MTANDAO WAIONE. MAANA MAGU HUPENDA KUJISAFISHA SANA NA KUTOONA UMUHIMU WA BUNGE.
 
Habari kubwa inayotrend ndani ya nchi yetu hivi sasa na nje ya nchi ni kuzama kwa kivuko cha MV Nyerere kilichokuwa kikifanya safari zake huko Ukerewe katika ziwa Victoria na kusababisha vifo vya watanzania wasio na hatia zaidi ya 130

Tumemsikia Rais wetu Magufuli kama kawaida yake akiagiza kwa ukali kabisa, hatua Kali zichukuliwe kwa wote waliohusika na uzembe huo hadi kusababisha maafa hayo makubwa kwa nchi yetu

Lakini pia kuna clip moja inayotrend humu mtandaoni kwa hivi sasa ikimuonyesha Mbunge wa Ukerewe kwa tiketi ya Chadema, Joseph Makundi, akilalamika wakati huo Bungeni kuwa kivuko cha MV Nyerere ni kibovu na akaendelea kueleza kuwa aliwasiliana na Waziri wa uchukuzi kwa kipindi kirefu kumweleza tatizo hilo lakini hajasikilizwa, akaendelea kueleza kuwa au ndiyo inasubiriwa kizame kivuko hicho ndiyo waje hapo Bungeni kuchangishana pesa ya rambirambi? Mwisho wa kunukuu

Na kweli hivi sasa utabiri huo umetimia kwa kivuko hicho kuzama na kama alivyoeleza Mheshimiwa Mbunge huyo kuwa sasa ndiyo tuko "busy" kuchangishana pesa ya rambirambi!

Hebu tujiulize kama Taifa ni kweli tunatoa kipaumbele katika vitu vya muhimu kwa Taifa letu?

Au ndiyo tunatoa kipaumbele katika vitu anavyohitaji Mheshimiwa "Mfalme" vipewe kipaumbele?

Hapo ndipo tulipofika kama Taifa, wapo watu watakuwa "victimized" katika tukio hili wakati UKWELI unajulikana kuwa kama Taifa tumeachana na kutoa kipaumbele katika vitu ambavyo kama Taifa tunapaswa kuvipa kipaumbele

RIP wote waliokumbwa na mkasa wa kuzama kwa MV Nyerere huko ziwa Victoria
Hawakuziba masikio kilitengenezwa tatizo sikulaumu Maana haukufuatilia Habari Zaidi na kwa umakini,Siku nyingine uwe makini kuleta Habari maanautawajaza watu sumu kwa habari ambazo sizizokamilika au zisizo za uhakika
 
Libarikiwe ziwa lililokunyonyesha na mikono iliyokupakata.

Tabia ya kupuuza watu hasa wawakilishi wa wananchi kutoka majimbo yanayoongozwa na opposition, ni ya kawaida sana katika kipindi hiki. Hujasikia wanancji wakiambiwa mko nyuma kimaendeleo kwa kuwa mlichagua upinzani?

Unapokuwa na kiongozi mbaguzi na watendaji wabaguzi, maafa hayatakoma.
 
tena kwa msisitizo kabisa
Huyu asiwe reference sana kwa sababu Hon. MP aliyoyashauri na kuomba yalifanyiwa kazi vizuri kabisa,so tusilete siasa za uongo na kweli hapa. Tatizo hapa si ubovu Wa kivuko bali ni uongozi Wa usafirishaji kutofuatilia namna usafirishaji unavyofanywa. Watu walijazwa kupita kiasi + uzito Wa mizigo mingine kama magari.
 
Hicho kivuko hakikupindukia mbele (eti baad ya watu kukimbilia mbele wawahi kushuka) bali kilipinduka kwa upande (side), kwanini Viongozi wasiwajibike ?, na kama hawawajibiki basi aliyewateua (rais) Ajihoji yeye
shabaha kuu ya maoni yangu ni kwamba kuzidisha mzigo kwenye vyombo vya majini, wapo wahusika wanaosimamia sekta hiyo, wanakua wapi ? Mbona Majanga yanajirudia rudia ? sumatra mbona wanashinda barabarani ku deal na mabasi na dala dala tena wakiwa na askari wenye silaha...!! usafiri wa majini hauna umuhimu kwao ? narudia tena it's so sad.. !!
 
Baada ya uyo mbunge kulizungumzia ilo tatizo, serikali sikivu ya JPM ilinunua injini mpya na ilifungwa kwenye icho kivuko. Baadhi ya mashuhuda wamesema kivuko kilikua na mzigo kupita uwezo wake ukichukulia ilikua siku ya gulio/mnada. Kwaiyo ni uzembe wa wanao kisimamia kivuko. Ata kama meli/ boti/ kivuko kikiwa kipya mkizidisha mizigo kuliko uwezowake ilo linaweza tokea. Mv Bukoba ilikua hivyo, Mv Spice ilikua ivyo. Vivuko/ Meli vinabeba watu wengi kila mtu anataka kuwai aendapo.
Nachukia sana wanaoleta siasa kila mahala kama hao wanaomtumia Mh. Mbunge kama reference wakati alichokisema mh. Na chanzo cha ajali ni vitu tofauti
 
Habari kubwa inayotrend ndani ya nchi yetu hivi sasa na nje ya nchi ni kuzama kwa kivuko cha MV Nyerere kilichokuwa kikifanya safari zake huko Ukerewe katika ziwa Victoria na kusababisha vifo vya watanzania wasio na hatia zaidi ya 130

Tumemsikia Rais wetu Magufuli kama kawaida yake akiagiza kwa ukali kabisa, hatua Kali zichukuliwe kwa wote waliohusika na uzembe huo hadi kusababisha maafa hayo makubwa kwa nchi yetu

Lakini pia kuna clip moja inayotrend humu mtandaoni kwa hivi sasa ikimuonyesha Mbunge wa Ukerewe kwa tiketi ya Chadema, Joseph Makundi, akilalamika wakati huo Bungeni kuwa kivuko cha MV Nyerere ni kibovu na akaendelea kueleza kuwa aliwasiliana na Waziri wa uchukuzi kwa kipindi kirefu kumweleza tatizo hilo lakini hajasikilizwa, akaendelea kueleza kuwa au ndiyo inasubiriwa kizame kivuko hicho ndiyo waje hapo Bungeni kuchangishana pesa ya rambirambi? Mwisho wa kunukuu

Na kweli hivi sasa utabiri huo umetimia kwa kivuko hicho kuzama na kama alivyoeleza Mheshimiwa Mbunge huyo kuwa sasa ndiyo tuko "busy" kuchangishana pesa ya rambirambi!

Hebu tujiulize kama Taifa ni kweli tunatoa kipaumbele katika vitu vya muhimu kwa Taifa letu?

Au ndiyo tunatoa kipaumbele katika vitu anavyohitaji Mheshimiwa "Mfalme" vipewe kipaumbele?

Hapo ndipo tulipofika kama Taifa, wapo watu watakuwa "victimized" katika tukio hili wakati UKWELI unajulikana kuwa kama Taifa tumeachana na kutoa kipaumbele katika vitu ambavyo kama Taifa tunapaswa kuvipa kipaumbele

RIP wote waliokumbwa na mkasa wa kuzama kwa MV Nyerere huko ziwa Victoria
Clip ya Mbunge inayosambaa sasa ni malallamiko ya ubovu wa injini mbili za kivuko ambazo zilikuwa mbovu. Kwa bahati nzuri mpaka inapata ajali juzi, kivuko hicho kilishakuwa kimefungwa injini mpya. Lakini hatazingalikuwa hazijafungwa, bado waliohusika wanatakiwa kuchukuliwa hatua tena kali maradufu sababu huo utakuwa uzembe wa hali ya juu. Yaani una kivuko kibovu halafu unajaza abiria mara nne ya uwezo wake!, Nadhani kwa "taarifa za ubovu"unaousema, ilibidi wahusika wawe taahadhari zaidi si kufanya uzembe huu.
 
Mumeambiwa muache siasa kwenye swala LA msiba,Mzee kapigwa za chembe akiambiwa ukweli analia kuwa ni Siasa.
 
Bado nawaza alieanza kuisambaza ile clip aliikata kwa bahati mbaya, ilizidi ukubwa wa kuwezekana kutumwa ama alitaka kuficha kilichoongelewa huko mbele.
Ukimuuliza anaesema kivuko kilikua kibovu huo ubovu anaouongelea ni upi hawezi kukujibu, zaidi atasema “Mbunge alitabiri na imetokea”, wengi wamesikiliza yale maelezo kwamba kivuko kina shida na ipo siku kitaleta maafa kwahiyo inakua ngumu kwao kujua yaliyoendelea, hata ukimwambia kilifungwa mashine mpya bado atakuambia mbunge alisema ni kibovu.
Tuache hizi propaganda, zina maumivu makali sana kwa ndugu zetu waliopatwa na hili janga. Nilikuwepo maeneo ya Mwanza jana na juzi inasikitisha sana, kwenye watu 10 unaokutana nao kuna mmoja atakuambia alikua na jamaa ama ndugu kule.
 
Baada ya uyo mbunge kulizungumzia ilo tatizo, serikali sikivu ya JPM ilinunua injini mpya na ilifungwa kwenye icho kivuko. Baadhi ya mashuhuda wamesema kivuko kilikua na mzigo kupita uwezo wake ukichukulia ilikua siku ya gulio/mnada. Kwaiyo ni uzembe wa wanao kisimamia kivuko. Ata kama meli/ boti/ kivuko kikiwa kipya mkizidisha mizigo kuliko uwezowake ilo linaweza tokea. Mv Bukoba ilikua hivyo, Mv Spice ilikua ivyo. Vivuko/ Meli vinabeba watu wengi kila mtu anataka kuwai aendapo.

Hivi kufunga injini mpya kwenye kifaa cha usafiri kama gari, kivuko, ndege nk. ndiyo usalama wa chombo? Naomba wahandisi watupe ushauri wa kina.
 
Habari kubwa inayotrend ndani ya nchi yetu hivi sasa na nje ya nchi ni kuzama kwa kivuko cha MV Nyerere kilichokuwa kikifanya safari zake huko Ukerewe katika ziwa Victoria na kusababisha vifo vya watanzania wasio na hatia zaidi ya 130

Tumemsikia Rais wetu Magufuli kama kawaida yake akiagiza kwa ukali kabisa, hatua Kali zichukuliwe kwa wote waliohusika na uzembe huo hadi kusababisha maafa hayo makubwa kwa nchi yetu

Lakini pia kuna clip moja inayotrend humu mtandaoni kwa hivi sasa ikimuonyesha Mbunge wa Ukerewe kwa tiketi ya Chadema, Joseph Makundi, akilalamika wakati huo Bungeni kuwa kivuko cha MV Nyerere ni kibovu na akaendelea kueleza kuwa aliwasiliana na Waziri wa uchukuzi kwa kipindi kirefu kumweleza tatizo hilo lakini hajasikilizwa, akaendelea kueleza kuwa au ndiyo inasubiriwa kizame kivuko hicho ndiyo waje hapo Bungeni kuchangishana pesa ya rambirambi? Mwisho wa kunukuu

Na kweli hivi sasa utabiri huo umetimia kwa kivuko hicho kuzama na kama alivyoeleza Mheshimiwa Mbunge huyo kuwa sasa ndiyo tuko "busy" kuchangishana pesa ya rambirambi!

Hebu tujiulize kama Taifa ni kweli tunatoa kipaumbele katika vitu vya muhimu kwa Taifa letu?

Au ndiyo tunatoa kipaumbele katika vitu anavyohitaji Mheshimiwa "Mfalme" vipewe kipaumbele?

Hapo ndipo tulipofika kama Taifa, wapo watu watakuwa "victimized" katika tukio hili wakati UKWELI unajulikana kuwa kama Taifa tumeachana na kutoa kipaumbele katika vitu ambavyo kama Taifa tunapaswa kuvipa kipaumbele

RIP wote waliokumbwa na mkasa wa kuzama kwa MV Nyerere huko ziwa Victoria


Kadiri siku zinaposogea mbele, umekuwa mpuuzi wa ajabu sijui kwa faida ya nani? haukuwa mjinga hivi

Joseph makundi alipolalamika, meli ikakarabatiwa na kuwekewa injinia mpya (ulaumu sasa ukarabati na ufundi, ila sio hakusikilizwa)

Meli ilijaza watu mara tatu zaidi ya uwezo wake

huyo mbunge wako anajua na alijua
mkuu wa mkoa alijua na anajua
nahodha aliyempa utingo meli alijua

sasa we mpuuzi, hapa unataka watu wasiwajibishwe kisa mbunge wa chadema aliongea?

mbunge wa chadema ashawahi kuzuia operation mbovu kulalamikia watu kujaa lukuki?....

nimekudharau
 
Bado nawaza alieanza kuisambaza ile clip aliikata kwa bahati mbaya, ilizidi ukubwa wa kuwezekana kutumwa ama alitaka kuficha kilichoongelewa huko mbele.
Ukimuuliza anaesema kivuko kilikua kibovu huo ubovu anaouongelea ni upi hawezi kukujibu, zaidi atasema “Mbunge alitabiri na imetokea”, wengi wamesikiliza yale maelezo kwamba kivuko kina shida na ipo siku kitaleta maafa kwahiyo inakua ngumu kwao kujua yaliyoendelea, hata ukimwambia kilifungwa mashine mpya bado atakuambia mbunge alisema ni kibovu.
Tuache hizi propaganda, zina maumivu makali sana kwa ndugu zetu waliopatwa na hili janga. Nilikuwepo maeneo ya Mwanza jana na juzi inasikitisha sana, kwenye watu 10 unaokutana nao kuna mmoja atakuambia alikua na jamaa ama ndugu kule.

mkuu kuna watu wapuuzi

baada ya ile statement ya mbunge, kivuko kilifanyiwa marekebisho

sasa meli imejaza watu 400 wakati idadi yake ni watu 100...eti bado kauli ya mbunge ni valid na eti...JPM hapaswi juwawajibisha watu

Mystery kawa mpuuzi wa mwisho kabisa
 
Habari kubwa inayotrend ndani ya nchi yetu hivi sasa na nje ya nchi ni kuzama kwa kivuko cha MV Nyerere kilichokuwa kikifanya safari zake huko Ukerewe katika ziwa Victoria na kusababisha vifo vya watanzania wasio na hatia zaidi ya 130

Tumemsikia Rais wetu Magufuli kama kawaida yake akiagiza kwa ukali kabisa, hatua Kali zichukuliwe kwa wote waliohusika na uzembe huo hadi kusababisha maafa hayo makubwa kwa nchi yetu

Lakini pia kuna clip moja inayotrend humu mtandaoni kwa hivi sasa ikimuonyesha Mbunge wa Ukerewe kwa tiketi ya Chadema, Joseph Makundi, akilalamika wakati huo Bungeni kuwa kivuko cha MV Nyerere ni kibovu na akaendelea kueleza kuwa aliwasiliana na Waziri wa uchukuzi kwa kipindi kirefu kumweleza tatizo hilo lakini hajasikilizwa, akaendelea kueleza kuwa au ndiyo inasubiriwa kizame kivuko hicho ndiyo waje hapo Bungeni kuchangishana pesa ya rambirambi? Mwisho wa kunukuu

Na kweli hivi sasa utabiri huo umetimia kwa kivuko hicho kuzama na kama alivyoeleza Mheshimiwa Mbunge huyo kuwa sasa ndiyo tuko "busy" kuchangishana pesa ya rambirambi!

Hebu tujiulize kama Taifa ni kweli tunatoa kipaumbele katika vitu vya muhimu kwa Taifa letu?

Au ndiyo tunatoa kipaumbele katika vitu anavyohitaji Mheshimiwa "Mfalme" vipewe kipaumbele?

Hapo ndipo tulipofika kama Taifa, wapo watu watakuwa "victimized" katika tukio hili wakati UKWELI unajulikana kuwa kama Taifa tumeachana na kutoa kipaumbele katika vitu ambavyo kama Taifa tunapaswa kuvipa kipaumbele

RIP wote waliokumbwa na mkasa wa kuzama kwa MV Nyerere huko ziwa Victoria

Tatizo sio tumeacha vipaombele bali tumechelewa sana kutekeleza vipaombele na sasa tumejikuta tunavyo vingi sana na hata vingine kusahaulika kama sio kusubirishwa! Mheshimiwa rais anatekereza vipaombele hasa vya kitaifa, tusimbeze tafadharini sana! Ni bahati mbaya sana kwa hawa manahodha kuruhusu utitiri wa watu na mizigo kupanda zaidi ya uwezo wa kivuko…hiyo kwangu mimi ndio sababu…na hiyo ndio inayoweza kuwawajibisha watu fulanifulani!
Kilio changu ni kwa hawa waendesha chombo chenyewe kukipa kazi nje ya uwezo wake…na kama kilikuwa hakifai si wangeki'park' mpaka kikarabatiwe……….! Hayo tu. Poleni sana watz wenzangu kwa msiba huu mzito, poleni sana wafiwa, R.I.P marehemu wote! Naomba Mungu atupe faraja yake na baraka zake kwa wafiwa na taifa kwa ujumla!
 
Back
Top Bottom