Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Hii tabia nilianza mwaka 2007 nikiwa Form Four nikiwa nina miaka 17 ilikuwa ni pale Manzese Uwanja wa fisi kipindi kile elfu moja tuu bao moja nilipoanza kununua papuchi
Hii tabia nimendelea nayo hadi saivi nina miaka 34 bado yale maeneo bado naenda na tabia ya kununua malaya nimekuwa too clonic yaani inafika hatua haipiti week lazima nigonge njee licha ya kuwa na mpenzi
Nifanyeje ili hii tabia niweze kuiachaa. Ya kupenda kununua malaya maana nikipata hela kidogo Basi natafuta demu wa njee
Hii tabia nimendelea nayo hadi saivi nina miaka 34 bado yale maeneo bado naenda na tabia ya kununua malaya nimekuwa too clonic yaani inafika hatua haipiti week lazima nigonge njee licha ya kuwa na mpenzi
Nifanyeje ili hii tabia niweze kuiachaa. Ya kupenda kununua malaya maana nikipata hela kidogo Basi natafuta demu wa njee