Kop0
Member
- Oct 6, 2021
- 81
- 129
Sio kila kesi inahitaji utimamu wa binadamu, nyingine unatikiwa ujizime data ndo u solve.
Na kesi ya mshikaji wangu na mke wake walitengana kwa mda wa miaka wote washikaji zangu. Baada ya kupiga kilimanjaro zangu niliwapigia conference call sasa hivi wanarabuana huko.
Na kesi ya mshikaji wangu na mke wake walitengana kwa mda wa miaka wote washikaji zangu. Baada ya kupiga kilimanjaro zangu niliwapigia conference call sasa hivi wanarabuana huko.