Nijuavyo rice cooker inatumika kupika wali/ubwabwa tu.
Kuna aina ya rice cooker ambazo zinazweza pia kutumika kupika mchele wa aina tofauti mfano bismat rice, jasmine na huu wa kwetu ambao ni mojawwapo ya japanese varieties.
Kukaanga chips unahitaji kuwa na french frier na kukoroga uji sijui kama wanateknolojiaa wameshakuja na chombo maalumu! huenda kipo maana teknolojia inapaa na sio kukimbia!
Labda niwaachie wengine wanaweza wakawa wameshaona/kutumia technolojia ya juu zaidi.
kila la kheri.