Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,799
- 59,263
hiyo ndio asili ya mtu mweusi mzee,kuvaa nguo za wamagharibi wakati wewe ni mweusi tiii ndio kujidhalilisha kaka,hapo swadakta kabisa ndo pahala pake
Watu wengine utawaweza basi. . utadhani walikua wanajua nguo kabla ya mzungu kuwaletea vitambaa.
Hehehehe wabongo walivyo na tamaa zilizopitiliza na sie tungekua tunatembea bila nadhani wangeshahalalisha ubakaji maana kesi zingezidi mahakamani.