Unaweza kunipenda bila kuniona?.....

Unaweza kunipenda bila kuniona?.....

SnowBall

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2011
Posts
3,052
Reaction score
2,846
Wanabodi habari za weekend??

Nakubali ndio MAPENZI ni 'phenomenon' ya ajabu...Mapenzi bana wanasema yanakujaga tu kama mvua...Na wengine wanasema ukipenda waweza kuwa kipofu..nyekundu ukaiona samawati na njano ukaiona kijani...Lakini pamoja na kizungumkuti kinachohusu mapenzi hivi katika hali ya kawaida..'WAWEZA MPENDA MTU KWA KUANGALIA AVATOR YAKE TU???............... Hebu ndugu zangu Eiyer, Nivea , Mr Rocky , Kaunga , Blaine , HorsePower, walimu wangu snowhite na gfsonwin , Mtambuzi , Jipu , saudari , Blue G, Kamanda Kazi, Yegoo na wengineo wengi nisaidieni hapa.....
 
Last edited by a moderator:
Ahsante kwa ushauri dadaangu..
Lakini wanasemaga kuna 'telepathy'..yaani kuna wakati 'avatars' zinazungumza kumhusu mhusika..
Hebu fuatilia utaniambia...

Siamini at that age unaweza kuibiwa maneno kaka hahaha. Hata nikikuona for a week siwezi kukupenda. Nahitaji muda nione kama una akilitmamu aisee.
Haya bana, wknd njema.
 
huko hakuitwi kupenda ni kutaman.kwan huwez kumpenda mtu usiyemwona kwa macho angalia ucje penda jin ukajajutia.yule ucye mjua wala kumuona huwez kumpenda ndugu yangu labda umtaman tu tena kumuona then u can decide kumpenda au laa
 
THEDEALER ndio nataka kujua mkuu..hivi hizi 'avatars' zetu zinazungumza kitu flani kutuhusu???
Ina maana zinaweza kupeleka ujumbe flani kwa mhusika???

Ndio SnowBall inawezekana tena sana....................real love is the language of heart, hearts communicate themselves na kuambiana kuwa sisi tunapendana ama sisi hatupendani.
 
Last edited by a moderator:
nojo hebu nisaidie hapa..'kupenda' na 'kutamani'...kipi kinatangulia kingine??...Kwa hiyo unamaanisha kutamani ni ruksa hata kama ni kwa njia ya 'avatars'????


huko hakuitwi kupenda ni kutaman.kwan huwez kumpenda mtu usiyemwona kwa macho angalia ucje penda jin ukajajutia.yule ucye mjua wala kumuona huwez kumpenda ndugu yangu labda umtaman tu tena kumuona then u can decide kumpenda au laa
 
Last edited by a moderator:
Preta ina maana nyuma ya avatars kuna mambo mengi yamejificha..right?
Uliposema 'kunyonywa damu' ujue umenitisha...fafanua basi.....


Kuna watu huwa wanapenda avatar........watakuja kunyonywa damu siku moja......ndio watajua....
 
Last edited by a moderator:
what i know ni kwamba kuna watu ambao avatar zao reveals who they are. na hawa hata miandiko yao iko hivyo hivyo huwa inawasema ni watu wa aina gani.

but kuna wengine wanajifake kwenye avatar like unakuta kaweka avatar superb ila ukimwona si wa kivile, ama mwandiko unampa chati ila uhalisia hayuko hivyo.

kwangu mimi kwa mtu ili kuweza kupenda na sio kutaman sharti at least amwone muhisika si kiavatar but kihalisia as aone picha ama amwone mwenyewe.

kwenye kutamani hapo mtu anaweza akatami hata nukta tu ikiwekwa na muhusika lolz!
huu kwangu mimi naita ni ugonjwa kabisaaaaaaaaaa manake utahadaika kwa mengi sana. Experience inaonyesha wengi wanao tamaniana kwa avatar ama miandiko huishia kumwagana ama kuvunjana matumaini as wanajikuta walikuwa na higher expectations kumbe muhusika ni wa lowest.
 
nafikiri tujifunze kitu kimoja bila woga wa moyo ,in reality huwezi kupenda kitu hujakiona,usiwaone watuy wanapendeza njiani 100% ya nguo walizozivaa wameziona mahali wakazipenda ndio wakaenda na wao kutafuta .katika suala la mapenzi utatamani na pindi utakwapomwona utampenda au kumchukia,mapenzi ni kama ulevi vile kuna watu wengine wanalewa maneno matamu ,zawadi anazotumiwa ,picha aliyotumiwana huyo mpenzi ,avatar anayotumia whatever unaweza vutiwa na kutamani kumwona ili kuupa moyo ushibisho wa mwisho,naamini katika mapenzi cha mwisho kusema nampenda ni macho kumwon amhusika ather wise kila mmja anajitamkia tu na kujidanganya kimoyomoyo.jamani shughulisheni ubongo bandugu mtaliwa .THERE IS GREAT DIFFERENCE BETWEEN FANTANCY AND REALITY
 
Preta ina maana nyuma ya avatars kuna mambo mengi yamejificha..right?
Uliposema 'kunyonywa damu' ujue umenitisha...fafanua basi.....

Unajua watu hudhani kuwa......maisha ya JF ndio maisha halisi ya mtu.....humu tuna majambazi.....wachawi.....mabazazi......na kila aina.....sasa niambie ndo umefall kwenye avatar ya Preta.....kumbe mchawi.......imefika muda wake wa kutoa mgao huko uchawini......hana.......bahati nzuri ndo ushajipendekeza......hujatolewa kafara mkuu.....? think....
 
Last edited by a moderator:
THEDEALER ndio nataka kujua mkuu..hivi hizi 'avatars' zetu zinazungumza kitu flani kutuhusu???
Ina maana zinaweza kupeleka ujumbe flani kwa mhusika???

Wanasema mtu ni:
...anachokisema
...anachokitenda

wanasema pia quality ya mtu ni
...jinsi anavyosema-communicate
...jinsi anavyofanya-act

Hapa balancing point ni "mindset" kwa maana ya kutenda jambo maana yake ni kutafsiri unachowaza
 
nojo hebu nisaidie hapa..'kupenda' na 'kutamani'...kipi kinatangulia kingine??...Kwa hiyo unamaanisha kutamani ni ruksa hata kama ni kwa njia ya 'avatars'????

snowball ni hiv,mtu ucye muona cku zote utataman umuone kwanza kisha kama yupo poa bas waweza mpenda,ivyo kutomuona mtu kwa macho ni ngumu kumpenda bali utataman kwanza umuone so kwa case yako kutaman ndo kutaanza.ila endapo ulishamuona bas kupenda ndo itaanza.kwan vp kuna mtu unampenda nin
 
Last edited by a moderator:
Duh!..asante mwalimu wangu gfsonwin kwa ushauri wako..
Hapo nilipobold huoni kwamba umekuwa 'too simplistic' dadaangu...are you sure with that fact????

.... kwangu mimi naita ni ugonjwa kabisaaaaaaaaaa manake utahadaika kwa mengi sana. Experience inaonyesha wengi wanao tamaniana kwa avatar ama miandiko huishia kumwagana ama kuvunjana matumaini as wanajikuta walikuwa na higher expectations kumbe muhusika ni wa lowest.
 
Last edited by a moderator:
what i know ni kwamba kuna watu ambao avatar zao reveals who they are. na hawa hata miandiko yao iko hivyo hivyo huwa inawasema ni watu wa aina gani.

but kuna wengine wanajifake kwenye avatar like unakuta kaweka avatar superb ila ukimwona si wa kivile, ama mwandiko unampa chati ila uhalisia hayuko hivyo.

kwangu mimi kwa mtu ili kuweza kupenda na sio kutaman sharti at least amwone muhisika si kiavatar but kihalisia as aone picha ama amwone mwenyewe.

kwenye kutamani hapo mtu anaweza akatami hata nukta tu ikiwekwa na muhusika lolz!
huu kwangu mimi naita ni ugonjwa kabisaaaaaaaaaa manake utahadaika kwa mengi sana. Experience inaonyesha wengi wanao tamaniana kwa avatar ama miandiko huishia kumwagana ama kuvunjana matumaini as wanajikuta walikuwa na higher expectations kumbe muhusika ni wa lowest.

Umeongea kila kitu........nimependa sana hii post.....
 
Nivea umenifungua macho ndugu yangu..
Kumbe kuna tofauti kubwa kati ya 'fantasy' and 'reality'
Jamani ndugu zangu hebu tujipe muda wa kuchunguza aisee...

nafikiri tujifunze kitu kimoja bila woga wa moyo ,in reality huwezi kupenda kitu hujakiona,usiwaone watuy wanapendeza njiani 100% ya nguo walizozivaa wameziona mahali wakazipenda ndio wakaenda na wao kutafuta .katika suala la mapenzi utatamani na pindi utakwapomwona utampenda au kumchukia,mapenzi ni kama ulevi vile kuna watu wengine wanalewa maneno matamu ,zawadi anazotumiwa ,picha aliyotumiwana huyo mpenzi ,avatar anayotumia whatever unaweza vutiwa na kutamani kumwona ili kuupa moyo ushibisho wa mwisho,naamini katika mapenzi cha mwisho kusema nampenda ni macho kumwon amhusika ather wise kila mmja anajitamkia tu na kujidanganya kimoyomoyo.jamani shughulisheni ubongo bandugu mtaliwa .THERE IS GREAT DIFFERENCE BETWEEN FANTANCY AND REALITY
 
Last edited by a moderator:
Aaah wapi! Telepathy inakuwepo. Lakini si ya kupenda. Unataka kuniambiaje kuhusu avatar yangu ama yako kwa mfano?

Mimi bwana sihukumu kitabu kwa cover yake. Nataka kusoma mwanzo mwisho. Na nategemea surprises kwa kila mtu including myself. Niko careful kuhusu 'kupenda'. Naweza kukufahamu mwaka mzima na nisikupende japo nitakuwa nakumiss kama kampani yako iko poa. Na nikipenda utajuuta kama ulikuwa unabip hehehe!
Ahsante kwa ushauri dadaangu..
Lakini wanasemaga kuna 'telepathy'..yaani kuna wakati 'avatars' zinazungumza kumhusu mhusika..
Hebu fuatilia utaniambia...
 
Kwangu mimi humpenda mtu kutokana na "comment zake" anazotoa, kama mtu hutoa comment nzuri na zenye kupendeza "why not" kumlike?

Unakuta mtu anatoa ushauri mzuri ila ukiangalia avatar yake ni full matatizo.

Ndo maana naamini alivyosema watu8 yakwamba "Ingawa tunatumia AVATARS na USERNAMES ambazo ni FAKE, bado haibadilishi uhalisia wa MIOYO YETU".
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom