Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Joined Feb 3, 2009 Posts 43,037 Reaction score 34,741 May 31, 2013 #1
Sigma JF-Expert Member Joined Feb 26, 2011 Posts 5,006 Reaction score 1,259 May 31, 2013 #3 Iyo picha yako inanikumbusha Israel-Egypt/Syria war 1973 October 6-----Jan 1974
Mzee Mwanakijiji Platinum Member Joined Mar 10, 2006 Posts 34,103 Reaction score 43,347 May 31, 2013 #4 b1 kasimama
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 May 31, 2013 #5 Sigma said: Yuko A1 Click to expand... dadavua kidogo mkuu...mimi nabisha
Mama Mdogo JF-Expert Member Joined Nov 21, 2007 Posts 2,975 Reaction score 2,170 May 31, 2013 #6 Askari yuko katika sector B1 chini kwenye vichaka kasimama wima na yuko kavaa na kofia
kijiichake JF-Expert Member Joined Oct 13, 2010 Posts 284 Reaction score 58 May 31, 2013 #7 Yuko B kasima kajikumbatia kwa mikono kifuani
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,866 Reaction score 24,976 May 31, 2013 #8 Sifai jeshini. I quit!
MPANDA Jr JF-Expert Member Joined Nov 27, 2011 Posts 1,295 Reaction score 159 May 31, 2013 #9 Yupo B1 close to C1, pamoja na combat amevaa kofia na ameinamisha kichwa
ARV JF-Expert Member Joined Sep 6, 2011 Posts 5,535 Reaction score 7,946 May 31, 2013 #10 Mkuu Mzizi nimepoteza muda mrefu kuichunguza picha sijaona kitu. Tunaomba jibu basi.
Red Scorpion JF-Expert Member Joined Feb 1, 2012 Posts 5,736 Reaction score 4,254 May 31, 2013 #11 B1 maze!
Mshirazi JF-Expert Member Joined Dec 8, 2009 Posts 444 Reaction score 180 May 31, 2013 #12 Yupo B1,, kulia kabisa,,
ITEGAMATWI JF-Expert Member Joined Jan 26, 2012 Posts 5,362 Reaction score 4,125 May 31, 2013 #13 Yahitaji umakini wa kupitiliza kumgundua aisee! A perfect camouflage! YUpo hapo B1 kama walivyokwisha sema wadau hapo juu!
Yahitaji umakini wa kupitiliza kumgundua aisee! A perfect camouflage! YUpo hapo B1 kama walivyokwisha sema wadau hapo juu!
Sigma JF-Expert Member Joined Feb 26, 2011 Posts 5,006 Reaction score 1,259 Jun 1, 2013 #14 Amavubi said: dadavua kidogo mkuu...mimi nabisha Click to expand... yep B1
L lexus Member Joined Dec 17, 2011 Posts 16 Reaction score 2 Jun 2, 2013 #15 Jamani mbona sioni picha?
Power to the People JF-Expert Member Joined Jul 11, 2007 Posts 1,198 Reaction score 900 Jun 3, 2013 #16 B1 ni ngumu kumuona lakini sintoshangaa kwa wanajeshi wengine kutambua kwamba hapo kuna mtu. watu wanajua kuyasoma mazingira anayowazunguka.
B1 ni ngumu kumuona lakini sintoshangaa kwa wanajeshi wengine kutambua kwamba hapo kuna mtu. watu wanajua kuyasoma mazingira anayowazunguka.
ARV JF-Expert Member Joined Sep 6, 2011 Posts 5,535 Reaction score 7,946 Jun 7, 2013 #17 Mkuu mi nimeshindwa kabisa kumuona au natakiwa nivae miwani gani?
D dav22 JF-Expert Member Joined Feb 22, 2012 Posts 1,887 Reaction score 314 Jun 7, 2013 #18 da hapa kazi ipo aisee....
morphine JF-Expert Member Joined Jan 26, 2012 Posts 3,506 Reaction score 1,103 Jun 7, 2013 #19 Anaweza kuwepo ila wakati hii picha inapigwa itakua alienda kukata gogo pembeni kdg. Maana nishazoom weeeee sioni kitu wajameni.
Anaweza kuwepo ila wakati hii picha inapigwa itakua alienda kukata gogo pembeni kdg. Maana nishazoom weeeee sioni kitu wajameni.
TIMING JF-Expert Member Joined Apr 12, 2008 Posts 31,194 Reaction score 18,221 Jun 7, 2013 #20 kama sio MMM ningeuvaa mkenge... mie niliona A1 tena kule juu kama wako kwa mbaaali