Hakuna aliye bora kati hawa lkn mmoja kati yao ana afadhali na unaweza hata kuvumilia kero zake pale inapotoke kuwa pamoja ktk maisha. Kwa fikra zako ni yupi unayeza kuishi naye kati ya teja na shoga?
Mie nadhani teja,maana kuna wengine wanavuta lkn ni vgumu kuwastukia na ni watu wakubwa sana mbele ya jamii ,na pia unaweza kumpandishia bei akitaka kuvuta awe anakutuma wewe na unakula cha juu,ila shoga anaweza kukuambukiza hana mpango kabisa kimbiza yeye
nilipita sehemu nikamsikia mshkaji analalamika juu ya teja, na kusema anaweza kukurejesha nyuma na kukutia umasikini. Na mtazamo aliyonao yeye ni afadhali ya shoga kwake kuliko teja. Dah, mi nipo tofauti na huyo kwasababu hizi,
1. Teja anaweza kutoa msaada ktk kazi nyingi ambazo shoga kwa uhalati na nyodo zake, huwa haziwezi (muhimu umtowe tu)
2. Shoga ana muonekano mbaya zaidi wa kimaadili. Hivyo ana uchozi mkubwa wa kumuharibu mtu kwa kutaka atekeleze shida zake pale anapowakusa wahusika wake.
hivi inakuingia akilini kuishi na mwanaume mwenzako ambaye badala ya kutoa yy huduma, akawa yy ndo anahudumiwa. Vyenginevyo labda ww uwe mtumiaji wa mtandao wa robo shilingi.
I prefer shoga, ukiwa na rafiki ambaye ni shoga, thay are so loyalty and so kind, will be there for u, ila akiwa adui yako, utaomba ardhi ipasuke utumbukie.
inasema hivi.... "Hakuna aliye bora kati hawa lkn mmoja kati yao ana afadhali na unaweza hata kuvumilia kero zake pale inapotoke kuwa pamoja ktk maisha."
hivi inakuingia akilini kuishi na mwanaume mwenzako ambaye badala ya kutoa yy huduma, akawa yy ndo anahudumiwa. Vyenginevyo labda ww uwe mtumiaji wa mtandao wa robo shilingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.