Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,108
- 37,644
Habari za asubuhi wakuu!
Naomba msaada wenu, nataka kununua gari, na nimefanya mawasiliano na Beforward Co. LTD Japan kwa mtandao wao, na asubuhi hii nimekuta Pro forma Invoice kwa E-mail yangu, wakinitaka nikalipie ndani ya 48 hrs. Naomba msaada kujua uhalali na uwepo wa kampuni tajwa, mi huwa naona bango lao pale Jangwani, hivi vijihela nimevunja kibubu jana, na wabongo wamekuwa watu hatari sana, wasije niingiza mjini!
Natanguliza shukrani, ruksa kupita kimya kimya!
Naomba msaada wenu, nataka kununua gari, na nimefanya mawasiliano na Beforward Co. LTD Japan kwa mtandao wao, na asubuhi hii nimekuta Pro forma Invoice kwa E-mail yangu, wakinitaka nikalipie ndani ya 48 hrs. Naomba msaada kujua uhalali na uwepo wa kampuni tajwa, mi huwa naona bango lao pale Jangwani, hivi vijihela nimevunja kibubu jana, na wabongo wamekuwa watu hatari sana, wasije niingiza mjini!
Natanguliza shukrani, ruksa kupita kimya kimya!