Hakua raisi wa kwanza bali mfalme/Emperor wa kwanza. Jacques kafa akiwa na 48yrs kauawa baada ya miaka 2 tu ya utawala.inasemekana dahomey baadae ilivamiwa,na mwanamama kukamatwa,na kufikishwa haiti, huko akamtrain mtoto anaitwa jean jacque ,.(rais wa kwanza wa haiti)
PamojaAisee mm naona nimeandika kawaida tu coz nilikua bored nikaona niandike kitu.
But thanks for compliments Sir[emoji3577]
kaka nipe madini hayoHakua raisi wa kwanza bali mfalme/Emperor wa kwanza. Jacques kafa akiwa na 48yrs kauawa baada ya miaka 2 tu ya utawala.
Lakini kuhusu muvi ya Woman King wamejaribu kuunganisha matukio tu ili kuendana na historia ila kilichptokea kwenye muvi sio halisi kwenye historia ya Dahomey. Hata majina yao sio halisi.
Unajua ulivyosema walienda kuanzisha taifa la Haiti nikajua unataka niambia kwamba kabla ya hapo Haiti haikuwepo hivyo nilikua natama nikuletee History ya Lincoln kuwaachia watumwa huru ijulikanayo Emancipation Proclamation nikuonyeshe kua haiti ilikuwepo toka zamani na watumwa wengine walitoka huko Haiti
hayo hayo chief, na mengine ukiweka ni tagMadini ya Emancipation Proclamation??
andika tuu unanoa mind yako mkuu watu wengine tunatulizamo akili zetu baada ya hekaheka za hapa na pale za jiji.I would lije to but, Sikuhizi nimekua mvivu kuandika humu magazeti ukizingati sipati faida yoyote. Ila nitakuelezea one day
jaribu kufanya jambo,upate faida kupitia uandishi wakoI would lije to but, Sikuhizi nimekua mvivu kuandika humu magazeti ukizingati sipati faida yoyote. Ila nitakuelezea one day
chapisha kitabu cha fiction.... una maknowledge mengi 😂Nipe connection mkuu, bichwa limejaa vitu halafu ila sina pa kuvipeleka
hahahaha,huo mtihaniNipe connection mkuu, bichwa limejaa vitu halafu ila sina pa kuvipeleka
Shida ndio inaanzia hapa maana bongo kila kitu ni connection ila ningekua mambele. Ningekua naogelea kwenye noti😅hahahaha,huo mtihani
mie nadhani wasomaji na wanunuzi wapo ila wachacheShida ndio inaanzia hapa maana bongo kila kitu ni connection ila ningekua mambele. Ningekua naogelea kwenye noti😅
Waafrika sio wasomaji, watanzania wanaunuaji wa vitabu or article hakuna. So unakufaa njaa na kipaji chako kichwani😔
usikate tamaa,nimekuelewa,Daah Acha vibaki tu kichwani...nitakua nawasimulia stori hata wanangu