Unawafahamu Jamaa wanaokamata Software Fake za Microsoft?

GAZETI

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
5,277
6,673
Kwa wale wanaokumbuka kuna jamaa waliibuka Jijini Dar es salaama na kuanza kukamata Computer ambazo zimepigwa Window fake na software nyingine za Microsoft.

Nakumbuka yule Jamaa wa Sunrise Computer alitakiwa kulipa milioni 50 kama fidia ya kukutwa amepiga Window ambayo haijalipiwa.

Wale jamaa walitoka wapi? Wanapatikana mpaka hii leo?
Hizi window zetu ambazo ni za wizi tunazotumia wengi, ukikamatwa nini hukumu yake?
 
Kwa wale wanaokumbuka kuna jamaa waliibuka Jijini Dar es salaama na kuanza kukamata Computer ambazo zimepigwa Window fake na software nyingine za Microsoft.

Nakumbuka yule Jamaa wa Sunrise Computer alitakiwa kulipa milioni 50 kama fidia ya kukutwa amepiga Window ambayo haijalipiwa.

Wale jamaa walitoka wapi? Wanapatikana mpaka hii leo?
Hizi window zetu ambazo ni za wizi tunazotumia wengi, ukikamatwa nini hukumu yake?
ninavyofahamu microsoft hata hajali utumie windows fake au genuine, ila atajali kwa

1. anayeweka windows fake
2. kampuni kubwa zinazotumia windows fake
3. uibaji mwengine wa large scale.

gharama tu ya microsoft kukushataki wewe pengine itamcost hela nyingi kushinda utajiri wote wa familia yenu, ndio maana hawadeal na mtu wa mwisho.

na hio milioni 50 pia ni ndogo sana pengine kuna jambo jengine zaidi.
 
Microsoft hawafuatilii watu binafsi wenye Windows ambazo hazina license (Sipendi neno feki maana ni software ile ile! Sema haujalipia license), ni makampuni yenywe wafanyakazi wengi wanaotumia PC za kazini na hazina license na wale wanaosambaza au kuuza software bila license.
 
ninavyofahamu microsoft hata hajali utumie windows fake au genuine, ila atajali kwa

1. anayeweka windows fake
2. kampuni kubwa zinazotumia windows fake
3. uibaji mwengine wa large scale.

gharama tu ya microsoft kukushataki wewe pengine itamcost hela nyingi kushinda utajiri wote wa familia yenu, ndio maana hawadeal na mtu wa mwisho.

na hio milioni 50 pia ni ndogo sana pengine kuna jambo jengine zaidi.
Mkuu hawa Jamaa waliranda sana pale Kariakoo ilikuwa ni hekaheka na nikipindi
ambacho wengi Tulianza kuifahamu LINUX.
 
Microsoft hawafuatilii watu binafsi wenye Windows ambazo hazina license (Sipendi neno feki maana ni software ile ile! Sema haujalipia license), ni makampuni yenywe wafanyakazi wengi wanaotumia PC za kazini na hazina license na wale wanaosambaza au kuuza software bila license.
Mkuu inawezekana tu huna kumbukumbu lakini kuna wale Jamaa inasemekana huwa
wanatoka Nairobi, hao wakikunasa wanaita Polisi kabisa kuna wengi waliwahi kunaswa hususani
maeneo ya Kariakoo, Tulikimbizana sana mkuuu nakumbuka vizuri kwa sababu kuna mtu bila
kunifahamu alinipa Laptop nitoroke nayo dukani kwa kuhofia sakata hilo.
 
Mkuu hawa Jamaa waliranda sana pale Kariakoo ilikuwa ni hekaheka na nikipindi
ambacho wengi Tulianza kuifahamu LINUX.
itakuwa ni mchongo tu, microsoft wenyewe wangekuonya na wakitaka wangeku track ulipo na si kukimbizana na wewe kkoo. hao ni wajanja tu wapo kazini wanapiga hela.
 
Kuna office kubwa ya serikali iliwai kupata iyo case ya computer zote za office kukosa license. Ikabidi walipe fidia nadhani.

Ila hao jamaa huwa wanatoka Nairobi. Microsoft ana branch kubwa Nairobi kwa ajili ya EAC
 
Kuna office kubwa ya serikali iliwai kupata iyo case ya computer zote za office kukosa license. Ikabidi walipe fidia nadhani.

Ila hao jamaa huwa wanatoka Nairobi. Microsoft ana branch kubwa Nairobi kwa ajili ya EAC
Ni kweli mkuu hawa watu wanatoka Kenya mara nyingine wanaongozana na polisi.
 
ila sidhani kama wata activate hata kama una oem keys kama activation zetu za kibongo huku
wataactivate maana hata mimi nliipata digital license kwa namna hiyo. nlikuwa na windows iliyo cracked nkailink hiyo windows na Microsoft account. sasa hivi kila nkiweka windows upya nkilink email tu activation inarud
 
wataactivate maana hata mimi nliipata digital license kwa namna hiyo. nlikuwa na windows iliyo cracked nkailink hiyo windows na Microsoft account. sasa hivi kila nkiweka windows upya nkilink email tu activation inarud
LAKINI HILI HALIWEZEKANI KWA OFFICE MAANA NINA MICROSOFT OFFICE PROFESSIONAL PLUS 2019
 
Back
Top Bottom