unavutiwa na msichana yupi?

unavutiwa na msichana yupi?

Asiwe mweupe..awe mweusi na mng'ao,c mzuri sn bt ana tabasamu zuri,awe na wezere la kichokozi..hips kama za Land Cruiser V8 sio hips kama kabeba mtungi.
 
Mfupi, mweusi, mnene ka kifutu afu awe na magamba
 
hahaha ntakung'ataje? Upo job?

Hehehe nakumbuka nikiwa mtoto walikuwa wanasema mtu akikung'ata watia mavi ya kuku pale ulipong'atwa ili meno ya mng'ataji yaoze...basi mie ntafanya hivyo hivyo.
Yes Bela nishafika kwa mkoloni sasa...
 
Hehehe nakumbuka nikiwa mtoto walikuwa wanasema mtu akikung'ata watia mavi ya kuku pale ulipong'atwa ili meno ya mng'ataji yaoze...basi mie ntafanya hivyo hivyo.
Yes Bela nishafika kwa mkoloni sasa...

pole sana jaman. Hayaozi ng'oooo
 
Liwe lineneee,jeupeee kama shankupe la kinondoni manyanya...ndo nayapendaga mie!!

C.c Madame B
 
Last edited by a moderator:
Kama ushawahi kumuona measkron enzi za ujana wake, basi hutapata tabu kujua nilikua napenda msichana wa namna gani.
Mrefu, nywele ndefu kama za singa, rangi ya ngozi ni maji ya kunde na ni angavu, akitembea wazungu huita cat walk.
Kinywani ana meno meupe kama theluji na yamejipanga barabara mithili ya askari wa mkoloni walio tayari kwa gwaride.
Hapo sijashuka kifuani na kuelezea namna alivyo na kifua kiduchu, na ana kiuno cha nyigu akitembea huwa chayumba pande zote kama pia izungukayo.
Nitarudi kuelezea sifa nyingine....
Love you my husband.... Daddy dearest
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom