mwacheni77
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 763
- 209
Mabadiiko ni hatua tangu apewe wizara hata mwaka haujageuka, ndio kwanza hii ndio bajeti yake ya kwanza tangu awe waziri mpeni muda afanye kazi baada ya mwaka ndio mfanye tathimini....
Hii nchi kila ulifanyalo unataka urais kupewa post ya kugombea urais ni mchakato wa chama na sio jitihada za mtu mmoja mmoja, Mh mwakyembe fanya kazi tutakutathimin baada ya mwaka wa pili wa bajeti yako tupo pmj na ww suport sana
Hii nchi kila ulifanyalo unataka urais kupewa post ya kugombea urais ni mchakato wa chama na sio jitihada za mtu mmoja mmoja, Mh mwakyembe fanya kazi tutakutathimin baada ya mwaka wa pili wa bajeti yako tupo pmj na ww suport sana