Unaufananisha na nini huu msemo?

libent

JF-Expert Member
Oct 29, 2011
382
84
Ng'ombe aliyeko mbele ndiye anaechelewesha safari kwa kutembea polepole lakini fimbo anachapwa wa nyuma. Nashut down
 
Viongozi wetu ndio wanasababisha hali ngumu ya maisha, lakin matokeo yake sisi wananchi ndio tunaoumia na kupigika! Nimeupenda sana huu msemo.
 
Mmmh, haya ntaitolea statement badae ngoza nimwezeshe mkoloni kwanza.
 
hyo statement aliitoa mh. filikunjobe mbunge wa ludewa! maana ndo hyo hyo, chapa kiongozi ili wanyuma wapate kusonga!
 
Back
Top Bottom