Viongozi wetu ndio wanasababisha hali ngumu ya maisha, lakin matokeo yake sisi wananchi ndio tunaoumia na kupigika! Nimeupenda sana huu msemo.
kwahiyo hapa nani ng'ombe sasa..!!?Viongozi wetu ndio wanasababisha hali ngumu ya maisha, lakin matokeo yake sisi wananchi ndio tunaoumia na kupigika! Nimeupenda sana huu msemo.