unatumia jina gani instagram??

unatumia jina gani instagram??

ulitaka tufahami kuwa na wewe umenunua simu inayokuwezesha kuingia Instagram, sasa tushafahamu kiongozi.
 
nafkr umefungua uzi kwa nia njema tu ya kugain followers, ok nifuate : eyemdonc ila prof. yangu iko private hadi niku acknowledge
 
Last edited by a moderator:
nijuavyo mie ni kifup cha neno Ingia Gamboshi ....na InstaGram

okay mwallu natafuta mkopo ninunue simu na mimi yenye kuingia humo, kule unatumia jina gani au ni hili hili?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom