Unatapeli hadi wanafunzi?

Unatapeli hadi wanafunzi?

Thread ya mlipoanzia iko wapi? Au baada ya kuharibika ndio mnatuletea huku?

Hivyo vitisho si umtumie huko mlikotapeliana?
 
Jifunze kuacha liende, mjini shule.. Umeliwa kausha sio kuja kulia lia uku kutafuta sympathy zawatu.. Iyo ni option namba moja
2. Mvae kama humwogopi ila fata process kama unavithibitisho huna kausha
🤣🤣🤣😃😃😃 mimi ni mwarusha mtakuja sikia nimetoa uzi karudisha hadi na fadhila .
 
Thread ya mlipoanzia iko wapi? Au baada ya kuharibika ndio mnatuletea huku?

Hivyo vitisho si umtumie huko mlikotapeliana?
Nimsomi maridadi humu ameona hizi post ila nawaambia woi atarudisha .
 
Wewe iko siku utakuja sena yote saivi utajiona kidume ila hutomaliza huu mwaka bila kusema ukweli .
Saivi jione unakidhibitisho ila kwa baadae utasema yote.
Mimi nasoma vitabu vya arubadili nipe kazi nimuoneshe nitumie majina yke yote 3
 
Kwani wewe huna K, kwanini hukumpa na ukaunganisha dili
Sasa huyu ni mzee wawatu kakubali dili katoa hela marejesho hakuna hata kidogo .
Sasa nalalamikiwa mimi ndio nimemtambulisha kwa baba wawatu na hanielewi umenipata??
 
Back
Top Bottom