Unatamani kumiliki gari au magari?!

Unatamani kumiliki gari au magari?!

Mleta mada hajibu PM toka asubuhi, nina mashaka
....kama ya Kelvin Isaya.....nahisi harufu...mtanisamehe ila nasubiri ushuhuda Wenye maumivu...maana sijajua anotoa ushauri au ni Dalali wa magari au ni Two in one...any Sweet deal watch out with four eyez....nasikilizia kwa mbaliiii
 
@JLMM ;

Kwanza nipenda uliza yako, umeongea na kile ulichonacho!

Pili, kwa bei hio haitatosha kaka, tafadhari ongeza kidogo.

Unaweza kuja pm au ukanitumia e-mail ilituweze kujadiliana zaidi.

Karibu!
Huko Pm wengi Niko wanakofinyiwa ...do it in a forum
 
....kama ya Kelvin Isaya.....nahisi harufu...mtanisamehe ila nasubiri ushuhuda Wenye maumivu...maana sijajua anotoa ushauri au ni Dalali wa magari au ni Two in one...any Sweet deal watch out with four eyez....nasikilizia kwa mbaliiii
Hata Bwana Yesu, hakuwa na kosa lakini waliibuka watu wakimshutumu na kumfananisha na wakosaji.

Lakini alibaki na kuisimamia iliyokweli hadi mwisho, na KWELI IKASHINDA.


Binafsi, Naamini yakuwa UKWELI UNA NGUVU, UKWELI NI NURU, UKWELI UNATENGANISHA CHENGA NA MCHELE.

Hivyo, maneno yako hayawezi kuishinda KWELI, MAANA KWELI HUENGUA MANENO YOTE YA HILA AUTOMATICALLY, YAANI KWELI HUWA INAYA PROVE WRONG.


Hakuna giza lililowahi kufunika Nuru, vivyo hivyo manwno yako ya kiza, kamwe hayawezi kufunika Maneno yangu ya ukweli.
 
Habari yako,

Je, unatamani kumiliki gari/magari bora zaidi lakini huna fedha za kutosha.?!

Umechoka kununua magari kwa watu nawe unatamani kuagiza gari/magari bora na kwa gharama nafuu sana.?!

Kama jibu ni ndio.?! Basi karibu

Kwa maswali au ushauri

Karibu pm au unaweza

kuniandikia kupitia barua pepe hii ; ecarstanzania@gmail.com
Ukiondoa kigezo cha muda utakaochukua kulipata gari lako......kama upo Dar es salaam kuna tofauti gani kati ya kuagiza gari kutoka Japan na kununua yaliyopo hapa show rooms?
 
Ukiondoa kigezo cha muda utakaochukua kulipata gari lako......kama upo Dar es salaam kuna tofauti gani kati ya kuagiza gari kutoka Japan na kununua yaliyopo hapa show rooms?
Yaliyopo hapa,

Asilimia kubwa ni japan.

Tatizo ni kwamba, wengi wanapenda kuchezea milleage iliionekane in milleage ndogo aweze kukuvutia wewe mnunuzi.

Hilo ndio tatizo moja kubwa zaidi, na pia bei yake iko juu zaidi ya kuagiza japan moja kwa moja.
 
Yaliyopo hapa,

Asilimia kubwa ni japan.

Tatizo ni kwamba, wengi wanapenda kuchezea milleage iliionekane in milleage ndogo aweze kukuvutia wewe mnunuzi.

Hilo ndio tatizo moja kubwa zaidi, na pia bei yake iko juu zaidi ya kuagiza japan moja kwa moja.
Asante sana
 
Habari yako,

Je, unatamani kumiliki gari/magari bora zaidi lakini huna fedha za kutosha.?!

Umechoka kununua magari kwa watu nawe unatamani kuagiza gari/magari bora na kwa gharama nafuu sana.?!

Kama jibu ni ndio.?! Basi karibu

Kwa maswali au ushauri

Karibu pm au unaweza

kuniandikia kupitia barua pepe hii ; ecarstanzania@gmail.com

Nataka gari yoyote ya milioni 5 nikulipe kwa instalment.
 
Habari yako,

Je, unatamani kumiliki gari/magari bora zaidi lakini huna fedha za kutosha.?!

Umechoka kununua magari kwa watu nawe unatamani kuagiza gari/magari bora na kwa gharama nafuu sana.?!

Kama jibu ni ndio.?! Basi karibu

Kwa maswali au ushauri

Karibu pm au unaweza

kuniandikia kupitia barua pepe hii ; ecarstanzania@gmail.com

Nataka gari yoyote ya milioni 5 nikulipe kwa instalment.
 
Nipe gari ya milioni 5 nikulipe kwa instalment
 
INAUZWA

Make : Toyota

Model : Premio

Mileage : 18,945km

Engine size: 1,800cc

Gasoline : Petrol

Steering : Right

Transmission : Automatic

M/Year : 2004

Doors : 4

Seats : 5

FEATURES :

Driver Airbag
Air Conditioner
AM/FM Radio
Power steering
Power windows

imejumuisha :

Ushuru [emoji736] Marine insurance [emoji736]

registration [emoji736] Bima ya barabarani [emoji777] ecarstanzania@gmail.com

WAHI SASA!


IMG_20170117_105807_054.jpg




IMG_20170117_105843_680.jpg
 
Hata Bwana Yesu, hakuwa na kosa lakini waliibuka watu wakimshutumu na kumfananisha na wakosaji.

Lakini alibaki na kuisimamia iliyokweli hadi mwisho, na KWELI IKASHINDA.


Binafsi, Naamini yakuwa UKWELI UNA NGUVU, UKWELI NI NURU, UKWELI UNATENGANISHA CHENGA NA MCHELE.

Hivyo, maneno yako hayawezi kuishinda KWELI, MAANA KWELI HUENGUA MANENO YOTE YA HILA AUTOMATICALLY, YAANI KWELI HUWA INAYA PROVE WRONG.


Hakuna giza lililowahi kufunika Nuru, vivyo hivyo manwno yako ya kiza, kamwe hayawezi kufunika Maneno yangu ya ukweli.
Nyoka mwenye rangi ya kupendeza hapambwi sebuleni..
 
Back
Top Bottom