billionea alpha
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,496
- 1,755
50 million
Aisee Man Nahitaji Land rover Mkuu au Nissan Pickup single cabin nataka niende nikalime na hii itanifaa mkuu
mkuu bado natafuta chiefUlipata hiyo gari au bado unatafuta???
mkuu bado natafuta chief
Yeyote utakae wasiliana mae hapa kwenye thread yangu ambae sio MAGARI7, Tambua yakuwa huyo sio Mimi.mkuu bado natafuta chief
noted mkuu. Natafuta 110 iliyo kwenye hali nzuriYeyote utakae wasiliana mae hapa kwenye thread yangu ambae sio MAGARI7, Tambua yakuwa huyo sio Mimi.
Nina email moja yu ya kazi, ambayo ni
ecarstanzania@gmail.com
Hivyo, ukifanya biashara na mtu mwingine kupitia thread yangu hii, tambua yakwamba sio Mimi, na Mimi MAGARI7 sitahusika kwa tatizo lolote litakalo jitokeza.
Ahsante.
Mkuu ungeliweka number yako hapa maana siyo mie pekee nayehitaji mkuu.Sawa, you cam contact Me for further details
Ila sharti uwe serious tu
Watu kibao humu wanayo number yangu.Mkuu ungeliweka number yako hapa maana siyo mie pekee nayehitaji mkuu.
Ipo mkuuNina laki 7 mkuu Nataka gari maana kila nikizichanga hazijai Halafu Nina ndoto za kumiliki gari
Nina laki 7 mkuu Nataka gari maana kila nikizichanga hazijai Halafu Nina ndoto za kumiliki gari
wewe unakitega uchumi itakua wengine lazima pesaMie nahitaji gari, ila hela sina
Kwani uzi unahusu nini?Imfanyaje.?!