Ni PM tuyajenge baby .😉Mie nahitaji gari, ila hela sina
PM tulizoutuima na email hujajibu mpaka sasaHabari yako,
Samahani, nadhani umekosea, ninachojua Mimi, ni prado tx, na wala sio vx.
I stnd to be corrected.
Labda ni SABATO ..😛😛😛Mleta mada hajibu PM toka asubuhi, nina mashaka
@JLMM ;MIL 5 SUZUKI CARRY NAPATA KIBINGWA?
Habari yako,
Je, unatamani kumiliki gari/magari bora zaidi lakini huna fedha za kutosha.?!
Umechoka kununua magari kwa watu nawe unatamani kuagiza gari/magari bora na kwa gharama nafuu sana.?!
Kama jibu ni ndio.?! Basi karibu
Kwa maswali au ushauri
Karibu pm au unaweza
kuniandikia kupitia barua pepe hii ; ecarstanzania@gmail.com
Walaaaaa mie sitishiki, nakusubiria unambie niijie raum tu yanitoshaNawewe unatishika.?