KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,215
- 56,855
Vitu ndogo hizi...😅Utatulia wewe
Vitu ndogo hizi...😅Utatulia wewe
Nishajua Cha kufanya...😎Hapana ndio...ndio hapana..!
Si kama wewe ulivyofahamiana na wengine nje ya JF mkuu?JF tunakutana online, mambo ya kutamaniana kukutana yanatoka wapi tena? Mkutane kwenda wapi?
Kwani hawa watu tuko nao mtaani si ndio hawa hawa wa JF, au wenyewe wametokea sayari nyingine?
Sitaki Yaan
Unakamata fursa mzee
Binafsi namuadmire Abrianna kwa mengi, anaonekana ni mtu ambae akili imetulia sana tofauti na members wengiReason behind, you usualy use logic in expressing your points rather than emotions. Thats makes you different from the rest.
Yupo katoka...huwa tuna pishana sana maeneo ya msajili wa Hazina Samora.Kama unamjua Bishanga wewe mkongwe humu. Bishanga ile kesi yake pale TFF ilimpeleka lupango sijui kama alishatoka lupango.
Yupo katoka...huwa tuna pishana sana maeneo ya msajili wa Hazina Samora.
Asee...
Inachangamsha sana mkuu, binafsi napenda vile alivyo na akili resi, she is stress free girlEverlyne Salt sijui nimepatia jina, napenda personality yake daah
Kaka huku kuna watoto wakali sana, usiamini stories za wana.Nasikia madem wa humu ni wabovu hakuna mtu mwenye time nao kama mm....
🙏Binafsi namuadmire Abrianna kwa mengi, anaonekana ni mtu ambae akili imetulia sana tofauti na members wengi
Mwingine ninaetamani kumuona ni Evelyn Salt kwa sababu anaonekana akili yake inaenda resi sana, in fact haboi yaani unaweza kucheka mwanzo mwisho
Usimuamshe alielala.Kaka huku kuna watoto wakali sana, usiamini stories za wana.
Sawa mkuu.Usimuamshe alielala.