Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
....... Sasa dada nikuulize unafanyaje kuuonyesha huo msimamo wako? "Kama unanizuia nisiende safari yangu, na wewe hakuna kutoka" huku umezuia mlango au unamwambiaje ajue loh huyu yuko serious. Na je akiamua kutoka kwa nguvu? unamvuta shati au unabakia kununa tu kama mwanajamiiOne hapa? hebu nijuze dada yangu
unakumbuka nilikueleza misukosuko fulani? ndio wakati nilianza haya yote, akitoka nabeba wanangu na mie natoka, akiwepo namwambia naenda mahali fulani najitokea lakini na watoto, kwa wakati ule ilikuwa kama kila mtu kajiamulia mambo kivyake, mie nikawa naona poa tu mana nilipiga moyo brashi, yeye akawa matesoni mana ukitoka hutoka kitoto(u know what i mean), alivyokuja kujiweka sawa ndio ikawa ishu ya watoto sasa, na wao nilivyowapeleka huko, ikawa akigoma ujue na yeye yupo tu hapo home hatoki au nikumuona tu anabadilisha cjui tshirt na mie nabadili jeans "nakucndikiza uendako"....safari inaanza.