unatakiwa kuomba ruhusa au kuaga

....... Sasa dada nikuulize unafanyaje kuuonyesha huo msimamo wako? "Kama unanizuia nisiende safari yangu, na wewe hakuna kutoka" huku umezuia mlango au unamwambiaje ajue loh huyu yuko serious. Na je akiamua kutoka kwa nguvu? unamvuta shati au unabakia kununa tu kama mwanajamiiOne hapa? hebu nijuze dada yangu


unakumbuka nilikueleza misukosuko fulani? ndio wakati nilianza haya yote, akitoka nabeba wanangu na mie natoka, akiwepo namwambia naenda mahali fulani najitokea lakini na watoto, kwa wakati ule ilikuwa kama kila mtu kajiamulia mambo kivyake, mie nikawa naona poa tu mana nilipiga moyo brashi, yeye akawa matesoni mana ukitoka hutoka kitoto(u know what i mean), alivyokuja kujiweka sawa ndio ikawa ishu ya watoto sasa, na wao nilivyowapeleka huko, ikawa akigoma ujue na yeye yupo tu hapo home hatoki au nikumuona tu anabadilisha cjui tshirt na mie nabadili jeans "nakucndikiza uendako"....safari inaanza.
 
Nafikiri hata mwanaume anatakiwa kuomba ruhusa kwa mkewe. Kuna namna nyingi za kuomba. Si lazima aseme "Naomba ruhusa" kama wafanyavyo wanetu. Anaweza kutumia maneno tofauti. Kwa mf. "Mama fulani, nafikiria kwenda kuwaona wazee wiki ijayo na kurudi baada ya siku 2". Hapo jamaa anakuwa ameonesha nia yake ya kusafiri ambayo inasubiri kuungwa mkono na mkewe au kutoungwa mkono kama kuna sababu nzito. Kumbe kuomba ruhusa kunawafunga wote wawili.

Sasa unapoomba ruhusa kama Mume halafu ukakataliwa si kutakuwa na kasheshe la hali ya juu? na je ukiamua kutoka bila ruhusa si ndiyo kununiana mtindo mmoja!?imi nadhani kuaga ni muhimu lakini kuomba ruhusa naona kama kuna utata maana unaweza kukubaliwa au kukataliwa.
 
unakumbuka nilikueleza misukosuko fulani? ndio wakati nilianza haya yote, akitoka nabeba wanangu na mie natoka, akiwepo namwambia naenda mahali fulani najitokea lakini na watoto, kwa wakati ule ilikuwa kama kila mtu kajiamulia mambo kivyake, mie nikawa naona poa tu mana nilipiga moyo brashi, yeye akawa matesoni mana ukitoka hutoka kitoto(u know what i mean), alivyokuja kujiweka sawa ndio ikawa ishu ya watoto sasa, na wao nilivyowapeleka huko, ikawa akigoma ujue na yeye yupo tu hapo home hatoki au nikumuona tu anabadilisha cjui tshirt na mie nabadili jeans "nakucndikiza uendako"....safari inaanza.

...... Yaani leo nimecheka sana lol we kweli kiboko dadangu. Mie kuna siku nlijaribu eti kavaa aanze tena ilikuwa weekend, nami nikavaa lol saa ngapi asisuse na kununa juu....... nikaapa sirudii tena!
 
unakumbuka nilikueleza misukosuko fulani? ndio wakati nilianza haya yote, akitoka nabeba wanangu na mie natoka, akiwepo namwambia naenda mahali fulani najitokea lakini na watoto, kwa wakati ule ilikuwa kama kila mtu kajiamulia mambo kivyake, mie nikawa naona poa tu mana nilipiga moyo brashi, yeye akawa matesoni mana ukitoka hutoka kitoto(u know what i mean), alivyokuja kujiweka sawa ndio ikawa ishu ya watoto sasa, na wao nilivyowapeleka huko, ikawa akigoma ujue na yeye yupo tu hapo home hatoki au nikumuona tu anabadilisha cjui tshirt na mie nabadili jeans "nakucndikiza uendako"....safari inaanza.

duh! Una 'fujo'....!
 
...... Yaani leo nimecheka sana lol we kweli kiboko dadangu. Mie kuna siku nlijaribu eti kavaa aanze tena ilikuwa weekend, nami nikavaa lol saa ngapi asisuse na kununa juu....... nikaapa sirudii tena!

Yaani mnakaba mpaka vivuli nyie akina mama kiboko kha!
Je akiunga juu kwa juu katoka mzigoni anamalizia week end huko huko utafanyaje?
 
...... Yaani leo nimecheka sana lol we kweli kiboko dadangu. Mie kuna siku nlijaribu eti kavaa aanze tena ilikuwa weekend, nami nikavaa lol saa ngapi asisuse na kununa juu....... nikaapa sirudii tena!


bora asuse mbaki wote home kuliko aende kwa nguvu, mwangalie wrestling weeee cku ipite....lol
 
Yaani mnakaba mpaka vivuli nyie akina mama kiboko kha!
Je akiunga juu kwa juu katoka mzigoni anamalizia week end huko huko utafanyaje?


unajua kuanzia asubuhi mnapoamka unamkumbushia "c unakumbuka leo nilikuambia kuna hiki na kile" so hata acporudi unafanya kumcal tu kwamba ndio naelekea huko,hapo lazima akwambie uckawie huko.....
 
bora asuse mbaki wote home kuliko aende kwa nguvu, mwangalie wrestling weeee cku ipite....lol

......... Ah shost wangu akinuna nzi wote wanatawanyika na mende kujifungia kabatini... unawezajikuta unampa na pesa kabisa aende. akha kero stake
 
heee na pesa yangu juu? hapana! MJO una roho ndogo sana.
. Unafikiri dada kuna watu duniani wamejaaliwa loh mie akiwa anatoka hata simwulizi mbona huagi akha kama hajaona umuhimu wa yeye kunambia kama mkewe why angoje nimwulize?
 
uko sawa kabisa, halafu kuna mhudumu mmoja pale wa kitimoto ana kibri sana, nilitakaga kumlamba kofi siku moja, ila Korogwe pale wako juu sanaaa, si unaisikiaga inanukia hata ukipita kwenye daladala speed kitu unakisikia teh teh teh, yani hapa nshaanza kutamani, walai lazima jioni nipitie nikitoka mzigoni, ukija Fidel utanikuta nimetuna pale kwa nje kwenye kibustani mshenzi kinachoangalia barabara ya morogoro kwa chini, nimevaa shati la bluu leo.


heee lazima na mie nije leo....
 
Naona Nyamaya unamfundisha MJ1 awe anakaba mpaka vivuli ambavyo havikabiki na vile vile unamfundisha mieleka sijui MJ1 kama unataka kuvimbishwa sura hiyo shauri yako.

MJO ana roho ndogo sana, yaani muoga/cjui heshima imepitiliza, sielewi.
 
heee lazima na mie nije leo....

you are welcome!, wapitie kina WoS, MJ1 na wengineo, ntatoa ofa kwa wote.
actually mi ndio namtumia sms hapa mwanandoa mwenzangu mtarajiwa kwamba nina kikao na wanaJF, kila mtu aage kwake kunako husika, hatutaki kutoana manundu bure, wengine mmesema mnafuatiliana yendo zenu!.
 
Back
Top Bottom