taarifa ni muhimu kutoa kwa mwenzako, sio unakurupuka tu, unauhakika gani ukienda sokoni utarudi salama?, kuna mambo mengi siku hizi umegongwa na gari au pikipiki, umekamatwa huko sokoni kwenye purukushani zozote, na sio kwa mke hata mume umekwenda bar bila kuaga kwa my wife wako huko umesombwa na polisi si unajua polisi now wanapiga risasi ovyo ovyo, umelewa umefanya fujo ukarundikwa rumande mkeo huoni utakua unampa tabu kujua uko wapi?.
pia kuaga kunaonyesha respect kwa mwenzako, sio kujifanya kichwa cha familia halafu huagi, inamaana hata watoto wako wakiwa hawaagi utamlaumu nani?
kuhusu kuomba ruhusa hapa ni pale unapotaka kutoka lakini sio lazima ukubaliwe hiyo ruhusa, inategemea na umuhimu. mfano unasafiri inatakiwa uombe ruhusa na kutokana na uzito wa safari ruhusa itatolewa. ingawa kwenye hili suala la ruhusa mara nyingi inaonekana kuwabana sana wanawake, coz wanaume si unajua tena ndio vichwa vya familia, so sie huwa tunatoa tu taarifa kimtindo!!!
nyie mnatoa taarifa kimtindo, kwa hiyo na mimi naweza nikaamka asubuhi nikasema leo naenda singida kikazi,itakuwaje?
Jamani kuaga muhimu hata kama unaenda kuoga,msalani,kokote pale lazima uage bana sasa unajiondokea kama kuku alafu nakukuta mazingira tata lakini ndo kwenye njia hiyo hiyo uliko kuwa unakwenda nitakwelewa sikuelewi hapo hapo talaka 3.
nyie mnatoa taarifa kimtindo, kwa hiyo na mimi naweza nikaamka asubuhi nikasema leo naenda singida kikazi,itakuwaje?
Dogo apo tupo pamoja, ila sasa umekuwa na siasa kali sana apo,, angalia utaharibu kule kwingine si unajua anapitia pitia hapa anaweza kuogopa,,hehehehehehe
hehehe kweli bro. Lakini ni vyema ajue kuwa mm sina mzaha lazima anapo toka aage anakwenda wapi saloon au bar lazima atoe maelezo sio anajiondokea tu kama kuku asubuhi.
hehehe kweli bro. Lakini ni vyema ajue kuwa mm sina mzaha lazima anapo toka aage anakwenda wapi saloon au bar lazima atoe maelezo sio anajiondokea tu kama kuku asubuhi.
.......... Ila Fidel una vijineno.... utafikiri mkoma ngoma wa Msata lol
hehehehe mkuu utamruhusu aende bar mwenyewe?
Nafikiri hata mwanaume anatakiwa kuomba ruhusa kwa mkewe. Kuna namna nyingi za kuomba. Si lazima aseme "Naomba ruhusa" kama wafanyavyo wanetu. Anaweza kutumia maneno tofauti. Kwa mf. "Mama fulani, nafikiria kwenda kuwaona wazee wiki ijayo na kurudi baada ya siku 2". Hapo jamaa anakuwa ameonesha nia yake ya kusafiri ambayo inasubiri kuungwa mkono na mkewe au kutoungwa mkono kama kuna sababu nzito. Kumbe kuomba ruhusa kunawafunga wote wawili.nyie mnatoa taarifa kimtindo, kwa hiyo na mimi naweza nikaamka asubuhi nikasema leo naenda singida kikazi,itakuwaje?
Nafikiri hata mwanaume anatakiwa kuomba ruhusa kwa mkewe. Kuna namna nyingi za kuomba. Si lazima aseme "Naomba ruhusa" kama wafanyavyo wanetu. Anaweza kutumia maneno tofauti. Kwa mf. "Mama fulani, nafikiria kwenda kuwaona wazee wiki ijayo na kurudi baada ya siku 2". Hapo jamaa anakuwa ameonesha nia yake ya kusafiri ambayo inasubiri kuungwa mkono na mkewe au kutoungwa mkono kama kuna sababu nzito. Kumbe kuomba ruhusa kunawafunga wote wawili.
Ebwanee kama anaenda na mashosti wake namruhusu lakini sio akae peke yake ingawa wanasema wanao enda bar ni malaya wengine wanaenda kuwaona akina Fidel teh teh teh