Jamani hakuna wizara ninayoichukia kama ni nishati, mambo yake hayaeleweki, kwa kumbumbuku nilizonazo hatuna umeme wa uhakika tangu octoba 2011 hivi ni uzembe wa wizara au tanesco. niko njia panda simjui wa kumlaumu, naomba tuchangie kwa weredi wa hali ya juu bila kuingiza siasa. Nani unaona anafaa kuiongoza hii wizara? Manake huyu dogo simuelewi na lugha yake ya "mchakato bado unaendelea" naomba kuwasilisha