sheria ipi please iweke hapamkuu,ni kweli unayosema lakini ukiacha shamba lako bila kuliendeleza halafu halijapimwa akija mwekezaji uchwara "anapewa" na uongozi wa kijiji kwa maelezo kuwa ardhi ni mali ya kijiji.
yaani kwa sera ya ardhi iliyopo sasa hivi hakuna pa kukwepea.
kulikuwa na zoezi la hatimiliki za vijiji sijui liliishia wapi.