unataka utoke wkend na mpoleeee?

unataka utoke wkend na mpoleeee?

Mkuu mimi nipo najitongozea hapa mpoleee, mtu mwingine anakurupuka huko kitandani aliko na kuanza kuniletea maneno ya ubabe. hivi hayo maneno anaweza mwambia mmewe? bora hata angeongea mpoleeee ningemuelewa sio hawa viruka njia. mi hata silijui hili lisichana. naliona ona tu. ngoja nilale zangu. Mia

Mia taratibu ehh, pacha wangu huyo.
 
Haya cheki nawe ulivyo kurupuka .
Naomba unipe kosa au ubaya mmoja tu wa
hii thread .?

To be honest I think is other way around SHAME ON YOU .. who told you she was looking for "fame"? She asked for a date
What's wrong with that ? Come down and stop
Judging sameone you hardly know ....

JF kuna watu wana frustration na bitterness ya hali ya juu,na wanaotaka kila mtu awe kama wao,Mungu ametuumba tofauti,tumelelewa tofauti,sehemu tofauti,tuna kiwango cha kufikiri tofauti,elimu,exposure na kadhalika....napata shida watu wanampomtusi mtu kwa kuandika yaliyo moyoni mwake na kutaka hadharani kile akitakacho....wengine wanatamani wawe na guts za Mpolee kuweka wanayotaka hapo....she dares,do not take that for granted....she knows what she wants and goes for that...big up Mpoleee! Ishi utakavyo mpaka dunia itakapokufundisha tofauti...you actually made my day!!
 
tunarekebishana kijf si vinginevyo. kanusha usemi wako wa matope kabla sijakuvunjia heshima. naomba tuheshimiane, sijawahi kucomment hata thread yako 1. sikujui hunijui. Mia

Kama nilivyokwambia vitisho havinitingishi
Hata unywele. Tena kwa mtu ambae nimekutananae kwenye net .. polee
 
JF kuna watu wana frustration na bitterness ya hali ya juu,na wanaotaka kila mtu awe kama wao,Mungu ametuumba tofauti,tumelelewa tofauti,sehemu tofauti,tuna kiwango cha kufikiri tofauti,elimu,exposure na kadhalika....napata shida watu wanampomtusi mtu kwa kuandika yaliyo moyoni mwake na kutaka hadharani kile akitakacho....wengine wanatamani wawe na guts za Mpolee kuweka wanayotaka hapo....she dares,do not take that for granted....she knows what she wants and goes for that...big up Mpoleee! Ishi utakavyo mpaka dunia itakapokufundisha tofauti...you actually made my day!!

Thank you Michelle..
 
uhusiano wao haunihusu..
Tangu lini tunaangali uhusiano baina ya watu kujibu thread ??

we jifanye unajua vijembe. wapi nimesema uhusiano? hasira mpelekee mmeo alokupa huo ujauzito sio mimi, tena unikome. pumbavu zako.
 
Kama nilivyokwambia vitisho havinitingishi
Hata unywele. Tena kwa mtu ambae nimekutananae kwenye net .. polee

Wifi em njoo mara moja tujadili ule mpango wetu,naona unapoteza muda wakati una majukumu makubwa....kaka yuko wapi leo??
 
we jifanye unajua vijembe. wapi nimesema uhusiano? hasira mpelekee mmeo alokupa huo ujauzito sio mimi, tena unikome. pumbavu zako.

hahahahahahaha usivunje tu sreen yako kwa hasiri..
Take a deep breath , relax, usje kufa bura na mtu mwenyewe unae ongea nae anakucheka tu...
 
Kama nilivyokwambia vitisho havinitingishi
Hata unywele. Tena kwa mtu ambae nimekutananae kwenye net .. polee

mi naweza deal na wewe kuanzia ndani ya net hadi kwenye kitanda cha mmeo. ungekuwa hutembelei kinondoni ningesema kweli. nikishindwa kukupiga sishindwi hata kukupopoa na jiwe. wewe unaishi nyumba ya vioo, usijaribu kuingia anga zangu. Mimi ndo figganigga. unanikanyaga bahati mbaya nakulipua makusudi. endelea na upuuzi wako ndo utanielewa niko aje. Mia
 
Wifi em njoo mara moja tujadili ule mpango wetu,naona unapoteza muda wakati una majukumu makubwa....kaka yuko wapi leo??

Nakuja mwaya ..
Kaka yako yuko safarini hivi sjakwambia kaenda kumtembelea H??
 
hahahahahahaha usivunje tu sreen yako kwa hasiri..
Take a deep breath , relax, usje kufa bura na mtu mwenyewe unae ongea nae anakucheka tu...

hicho kicheko chako ndo kilio chako. jiliwaze na kusema screen. usijaribu hii namba. ntakuharibu sura zaidi ya hapo. unaleta mambo ya mzungumkuti hapa. utalewa bila kunywa dogo. ooohoo... Mia
 
Mkuu mimi nipo najitongozea hapa mpoleee, mtu mwingine anakurupuka huko kitandani aliko na kuanza kuniletea maneno ya ubabe. hivi hayo maneno anaweza mwambia mmewe? bora hata angeongea mpoleeee ningemuelewa sio hawa viruka njia. mi hata silijui hili lisichana. naliona ona tu. ngoja nilale zangu. Mia
Vipi tena? what happened to your earlier statement ya watu kujadili kwa heshima? Si ulisema JF ni jukwaa la furaha? acha hivo bwana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom