Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,160
Mshaharibu uzi huu, Mpoleeeeeeee weeeee njoo basi wanaendelea kuharibu huku, tunaendelea kutuma maombi. je umeyapata?
That is my sensitive and considerate AD, reminding me of my past while i took sometime off to heal....only to be back and reminded of him by my friend...so painful...lol
Huyu dada ni actress mzuri tu, nashani rafiki yako alikusaidia kwa nia nzuri.
Ila sasa sijui ni photoshop, au sijui alianguka tu mara moja, ila kuna picha kule jukwaa la wakubwa zinamuonesha akikaa vibaya.
Keren my dear, nimefurahi zaidi kukuona...wow!
Happy New Year! Have a Blessed one!
Huyu mpoleeee, Radhia Sweety, na mwita25 wanajua sana kushika akili za watu humu lol. Hata yule Zinduna naye hivyo hivyo.
Yaani unakuta watu wamekomaa kweli kweli kwenye sredi zao :lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol:
Asante dearest....yaani nilikuwa nimeshaaga kabisa hapa sijui nafanya nini hadi saa hii?? JF bwana ndo maana nakimbiaga wakati mwingine...lol
Yeah ngoja tumpotezee mwaya.Doto usiumize kichwa ..
Mwenzio nimechoka kucheke sasa hata simjibu tena.
maana ananiahidi vitu hatimizi.. ahaa nangoja kwa hamu anileweshe ...
achana nae bana..
Huyu mpoleeee, Radhia Sweety, na mwita25 wanajua sana kushika akili za watu humu lol. Hata yule Zinduna naye hivyo hivyo.
Yaani unakuta watu wamekomaa kweli kweli kwenye sredi zao :lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol:
Na wewe umetuma???Mshaharibu uzi huu, Mpoleeeeeeee weeeee njoo basi wanaendelea kuharibu huku, tunaendelea kutuma maombi. je umeyapata?
ohhhh dear , we will never ever stop talking about you two .. ( You know that)..
you and H perfect couple of the century and good role model for every couple out there..
i was a brides mate. TF best man .. ahhh ahhh ahhh no way i'm gonna let this go so easy ..
Sijambo AD, nawe mzima? Unaendeleaje?
Wamekamata akili yako pia NN?
Hahahaha. . . ndio umeshakamatwa akili hivyo dearest. Inabidi uwaombe wenye moderm wawe wanaifunga ikifika saa nne, hata ukitamani vipi unakosa access. . .lolz
ohhhh dear , we will never ever stop talking about you two .. ( You know that)..
you and H perfect couple of the century and good role model for every couple out there..
i was a brides mate. TF best man .. ahhh ahhh ahhh no way i'm gonna let this go so easy ..
Yeah ngoja tumpotezee mwaya.
Alafu we nawe sijui ni usanii au nini, ile hadithi ya "little cute RED dress" iliishia wapi?
Wanazishikaje?
Michelle nimeipenda sana signature yako. Hongera sana
I understand that God did not put in me the ability to always make right decisions. He did,however put in me the ability to make a decision and then make it right. My mind will live in the solution of the future.
Mi niko fresh tu captain..
nimesikia superstar ( B & J ) wa huko nyanda za juu kajifungua..
News hiyo si kubwa sana maeneo haya.. Vipi zinavuma sana huko?
Nope...mara nyingi huwa na observe tu back and forth za watu. Kwa mfano ile sredi ya Radhia earlier this week kuhusu uzuri wake. For all people know, Radhia could very well be a man.
But some people were like...you go on girl....if you got it flaunt it lol. It's all good though..