EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,347
Silence means YES bro,sisi ndo tunaendeleza thread hapa,yeye anakula raha....ndo raha ya kusema unachokitaka hadharani...lol
Khaaa! Ngoja na mie nianzishe lisredi langu.
Usinambii na wewe umeapply? lol
Kwani alikuwa amexkludi baadhi ya watu? Nalidhani kulikuwa na ikuo oportuniti mpaka kwa wanawake?