Unataka mke mwema na mzuri (choose from this category)

Karne hii ya leo bado watu wanaoa kwa makabila? Mungu ibariki Tanzania.

I dont believe a single lie. Pia ni kuwadhalilisha Wanawake wa makabila mengine ambao ni bi bi zetu, mama zetu, shangazi zetu, dada zetu, wake zetu, nk.

Hivi umewahi kujiuliza kama wanawake wasingekuwepo duniani maisha yangekuwa vipi?

Na hayo makabila unayoyaona hayafai kuoa yangekuwa hayapo unajua tanzania ingekuwa vipi?

Penda sana hii mapost. Like
 
Songíto;4340128 said:
nimewahi kwa wakati tofauti kuwa na mahisiano na wachaga (rombo) na wabena.... ukweli ni kuwa si wote wapo hivo udhaniavyo

Twambie ulijualo
 
Unapanda
mabasi ya ukabila?[
Ukabila,????????
Natania kaka, ila chagaz noma brother!, lakini umeacha mengine tuko makabila 132 kama sikosei
QUOTE=Tychicus;4334840]Orodha kwa ubora (10 bora). namba ndogo inawakilisha ubora zaidi

1. Chaga (Rombo)
2. Bena (Iringa)
3. Zigua (Tanga)
4.Nyakusya (Mbeya).
5. Nyaturu (singida).
6.Hehe (Iringa)
7. Waha (kigoma)
8. Fipa (rukwa)
9. Luguru (morobest)
10.Sukuma (shinyanga)

Haya kazi kwenu[/QUOTE]
 
Bora mi kabila langu lipo..bt ndugu tabia iko ktk induvidial na si kugeneralise makabila yawezekana hayo ulotaja hapo ndo wakawa wabovu.
 
Nilikuwa nimekaa na Profesa mmoja wa historia. Nimemualika mazungumzoNI. Anasema hii dhana nzima ya kabila ni potofu, kwamba inapewa uzito mkubwa sana kama some unit wakati ukiiangalia kwa sana utaona haiko hivyo.

Kuna wazuri na wabaya makabila yote.

Kwa hiyo unapotafuta mwenzi mzuri, angalia mengine, si kabila.
 
Nilikuwa nimekaa na Profesa mmoja wa historia. Nimemualika mazungumzoNI. Anasema hii dhana nzima ya kabila ni potofu, kwamba inapewa uzito mkubwa sana kama some unit wakati ukiiangalia kwa sana utaona haiko hivyo.

Kuna wazuri na wabaya makabila yote.

Kwa hiyo unapotafuta mwenzi mzuri, angalia mengine, si kabila.

Kwa miaka ya nyuma kitu cha muhimu sana cha kuangalia wakati wa kuoa au kuolewa ilikuwa ni kabila. Kwa sasa hiyo dhana imepotea. Watu wanaoana freely. Cha muhimu ni kujiangalia wenyewe kama kweli mnashabihiana badala ya kuangalia makabila yenu!
 
Nilikuwa nimekaa na Profesa mmoja wa historia. Nimemualika mazungumzoNI. Anasema hii dhana nzima ya kabila ni potofu, kwamba inapewa uzito mkubwa sana kama some unit wakati ukiiangalia kwa sana utaona haiko hivyo.

Kuna wazuri na wabaya makabila yote.

Kwa hiyo unapotafuta mwenzi mzuri, angalia mengine, si kabila.
Hapo kwenye bold hao wasikupotoshe, wengi wao unakuta hata familia zilishawashinda wanakaa kusoma hadi saa saba za usiku kisha wanapita bar/kwenye madanguro wanachukua machangudoa. They are smart academically but very blunt socially!
 
Twende tukacheze chagulaga kuleee......
Unafahamu kucheza litungu wewe...............
Ukichoka sana unacheza mduara......................
Ngoma inogile........
 
Hapo kwenye bold hao wasikupotoshe, wengi wao unakuta hata familia zilishawashinda wanakaa kusoma hadi saa saba za usiku kisha wanapita bar/kwenye madanguro wanachukua machangudoa. They are smart academically but very blunt socially!

Wewe na hao wanaochagua mke kwa minajili ya kabila hamna tofauti. Wote mmejawa na dhambi ya generalization.

Wewe mtu hata humjui ushamhukumu tayari, kwa vile Profesa tu basi atakuwa hivi na vile.

Kuna tofauti gani na yule anayesema

"Nami nimeapa, sitaoa tena Mkinga,
Makubwa nimepata, kwa ndoa yangu na Mkinga"
-Mbaraka Mwinshehe
 
Kwa miaka ya nyuma kitu cha muhimu sana cha kuangalia wakati wa kuoa au kuolewa ilikuwa ni kabila. Kwa sasa hiyo dhana imepotea. Watu wanaoana freely. Cha muhimu ni kujiangalia wenyewe kama kweli mnashabihiana badala ya kuangalia makabila yenu!

Umuhimu wa kabila ulikuwa ni nini?
 
Back
Top Bottom