<br /><font color="#2F4F4F"><font size="4">Ni hawa; Fungua jamii Forum saa 6, usiku, utawaona bado wapo wakijadili au kusoma<br />
Masuala Muhimu ya nchi hii wengine mpaka asubuhi wataendelea kuwepo,<br />
Bila shaka wanachelea mgao wa umeme hivyo kwa mapenzi na uchungu wa nchi yao <br />
wapo tu wanajadili na kusoma hili na lile, Kwangu hawa ndio <br />
wazalendo, wamekosa nafasi ya kutoa michango yao bungeni lakini wako hapa huku <br />
wanaojiita wawakilishi wa wananchi wakikoroma na wala hawana wasiwasi wa kukosa umeme.<br />
Wasiwasi utatoka wapi wanao wanalipwa posho kubwa?<br />
<br />
NI</font></font><font color="#2F4F4F"><font size="4">VEMA </font></font><font color="#2f4f4f"><font size="4">SASA </font></font><font color="#2f4f4f"><font size="4"> JF LIKIWA JUKWAA MAALUM LA WAPIGANIA UHURU MPYA NA WA KWELI!<br />
ALUTA CONTINUA.................................</font></font>
Ni hawa; Fungua jamii Forum saa 6, usiku, utawaona bado wapo wakijadili au kusoma
Masuala Muhimu ya nchi hii wengine mpaka asubuhi wataendelea kuwepo,
Bila shaka wanachelea mgao wa umeme hivyo kwa mapenzi na uchungu wa nchi yao
wapo tu wanajadili na kusoma hili na lile, Kwangu hawa ndio
wazalendo, wamekosa nafasi ya kutoa michango yao bungeni lakini wako hapa huku
wanaojiita wawakilishi wa wananchi wakikoroma na wala hawana wasiwasi wa kukosa umeme.
Wasiwasi utatoka wapi wanao wanalipwa posho kubwa?
NIVEMA SASA JF LIKIWA JUKWAA MAALUM LA WAPIGANIA UHURU MPYA NA WA KWELI!
ALUTA CONTINUA.................................
Hao wanaosafu usiku watakua wa ughaibuni mkuu kumbuka tumetofautiana kwa masaa wewe unaona kama hawalali.
Ha! ha! haaa!!very true. na wengine ni ma- watchmen,wako kazini LOL
Sasa tuelewe kuwa ww ni watchwoman? Na scientist ni nani sasa?very true. na wengine ni ma- watchmen,wako kazini LOL
MMU wanaingia kama memba ili kupoza machungu lakini kwenye haya majukwaa mengine wataingia kama Guest au MembaJukwaa la MMU lina maswala gani muhimu kwa nchi? maana wapo wanaokesha pale.
very true. na wengine ni ma- watchmen,wako kazini LOL
Hao wanaosafu usiku watakua wa ughaibuni mkuu kumbuka tumetofautiana kwa masaa wewe unaona kama hawalali.
very true. na wengine ni ma- watchmen,wako kazini LOL