
Salam ndugu zangu. Je unahitaji chochote kutoka Uturuki? Basi usisite kuwasiliana nami ninaweza kukusaidia. Kwa sasa nipo Uturuki nitarudi nchini baada ya two weeks.
Natanguliza shukrani.
Kweli mkuu Joseverest nimeamini kuwa wewe ni WA kwanza salute kwako.Kila la heri katika safari yako mkuu
Mkuu karibu Sana Bongo nadhani kwa upande WA nguo Uturuki Iko poa nitakupm basiSalam ndugu zangu. Je unahitaji chochote kutoka Uturuki? Basi usisite kuwasiliana nami ninaweza kukusaidia. Kwa sasa nipo Uturuki nitarudi nchini baada ya two weeks.
Natanguliza shukrani.
Salam ndugu zangu. Je unahitaji chochote kutoka Uturuki? Basi usisite kuwasiliana nami ninaweza kukusaidia. Kwa sasa nipo Uturuki nitarudi nchini baada ya two weeks.
Natanguliza shukrani.
Mkuu nadahani jamaa kaweka tangazo kwa ajili ya business wewe unahitaji zawadi???Niletee zawadi
Niletee zawadi
Mkuu nadahani jamaa kaweka tangazo kwa ajili ya business wewe unahitaji zawadi???
anaweza akajitolea tu kumletea zawadiMe ke nataka zawadiWewe ni KE au ME? Maana namimi nipo Uturuki.

Wewe ni KE au ME? Maana namimi nipo Uturuki.
Hahahaha... Jamaa hajarudiWewe ni KE au ME? Maana namimi nipo Uturuki.
Na wewe unataka zawadi toka Uturuki INNA???![]()
anaweza akajitolea tu kumletea zawadi
Ngoja Kuna jamaa yangu anakuja toka Uturuki weekend hii akuletee zawadi mdada Sasa unipm zawadi gani fasta achana na huyo Sumu...Me ke nataka zawadi![]()
Mkuu Na wewe humo jaza ujaziwe..Ni-PM namba yako ya WhatsApp.![]()