Unataka kujifunza programming?


Hii post ina zaid ya wiki moja, JamiiForums ina zaidi ya members laki tatu, najua uliexpect kuona flow yakutosha ya watu wakikuencourage na kupost comments and their suggestions ndipo uanze kuwork on the project,, kama hivyo ndivyo mzee utasubiri sana na utatufanya tuchelewe kusogea.. kama una skills na ungependa kushea nasi go and make it right now..

i expected hii post ingekuwa na video moja kama demo kwamba the issue will look like this ungekuwa mwanzo mzuri sana.. matatizo yetu yanafahamika saaana hakuna asiyejua kwamba 99% utawachanganya kama hutaanza kwenye basics kwaajili ya beginners .. by the way count me on your side mkuu..
 
Nika hapa bro maana mi ni programmer mtarajiwa shule ishusje hapa
 
Mimi nahitaji kujua tena uanzie mwanzo kabisa maana ufahamu Wangu umepwaya kabisa.
 
Duh! Nilitaka kufanya hiki kitu kwa muda, tatizo ni kwamba huwa sijiamini sana kwenye Kiswahili changu cha hapa kwetu Kenya. NullPointer ubarikiwe sana na Mungu, najua utakua umetumia nguvu nyingi sana kufanikisha hii shughuli, naomba wana jamii mtie subira na kumpa nguvu.

Nimetaka sana kunufaisha jamii, haswa mitaa ya huku Nairobi, kwa kuwafundisha vijana programming kwa lugha wanayoweza elewa vizuri. Inatia moyo kuona kuna mdau ameanza, hii iwe changamoto kwa programmers wote wanaopita humu, kwamba hamna haja ya kwenda kaburini na maujuzi yote haya bila kuachia walau vijana kadhaa wanufaike na kuendeleza.
 
Umesema vyema MK254 lakini na wewe bado unaweza kutoa ujuzi wako na tukaufaidi. Usijali kuhusu kiswahili, kama unaweza kuandika vizuri basi utaweza hata kuongea.
 
Jana na leo, shusha madude mkuu tena kwa kiswahili ndo rahisi kuelewa zaidi
 
#include<iostream>
#include<conio>
void main()
{
int x;
int y;
float z;

cout<<"enter x"<<endl;
cin>>x;
cout<<"enter y"<<endl;
cin>>y;
z=x/y;
cout<<"the results is "<<endl;
cout<<z;
getch();
}
 
#include<iostream>
#include<conio>
void main()
{
cout<<"poa mkuu nitakuwa mwanachama wako"<<endl;
cout<<"naitwa Pure mathematician"<<endl;
cout<<"mkazi wa ukonga"<<endl;
getch();
}
 
Mkuu kwa mfano mimi niko Arusha, lakini nahitaji sana kujifunza programming sasa unatusaidiaje sisi wa mikoani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…