Unataka kujifunza programming?

Unataka kujifunza programming?

mkuu usitusahau... huku.. weng ma beginner tupo anzia mwanzoo kabsaaa
 
Nahitaji kuwa software developer.

Kutokana na kukosa loan ya kusoma computer science mwaka 2014 chuo kikuu (Maana A-leo nilipata sponsorship, na kusomeshwa na mtu private, ndo maana sikuwa considered katika kupewa mkopo) nimeamua mwaka huu kusoma OPEN UNIVERSITY Bs. ICT maana ntakuwa na muda wa kutafuta ada ya chuo.Sasa nina maswala kadhaa nahitaji msaada.

1. Bs.ICT inaweza kunipa solid skills za programming?
2. Ninahitaji kujifunza kutengenenza web based systems kwa kutumia PHP, je nianzie wapi as a begginer?
 
Nahitaji kuwa software developer.

Kutokana na kukosa loan ya kusoma computer science mwaka 2014 chuo kikuu (Maana A-leo nilipata sponsorship, na kusomeshwa na mtu private, ndo maana sikuwa considered katika kupewa mkopo) nimeamua mwaka huu kusoma OPEN UNIVERSITY Bs. ICT maana ntakuwa na muda wa kutafuta ada ya chuo.Sasa nina maswala kadhaa nahitaji msaada.

1. Bs.ICT inaweza kunipa solid skills za programming?
2. Ninahitaji kujifunza kutengenenza web based systems kwa kutumia PHP, je nianzie wapi as a begginer?
Habar yako mkuu... as your fellow newbie au beginner ktk programming tungewasiliana il tuweze kushare meng zaid... nina kamwanga kidogo juu ya hzo mambo.... 0657163242 ntumie txt kwa whatsapp
 
Nina youtube channel ambayo huwa ninapost short screencasts on various topics in Programming, kama kuna kitu unahitaji request a Screencast and i will see if i can do it. Link: Swahili Programming Tutorials
Languages i can cover now: Ruby, JavaScript(Nodejs, Angular1/2), Erlang, Elixir, Golang | Web Designing (JQuery, CSS (sass)). I don't intend to do any PHP stuff though
 
Back
Top Bottom