Unataka kujifunza programming?

Unataka kujifunza programming?

Unapatikana mkoa gani kwa anayetaka kujifunza seriously kutoka kwako...face to face. Ni beginner kabisa.

Siishi Tanzania mkuu, ukiwa na maswali unaweza post kwenye comment section tu nikisoma ntakujibu au kama ni swali linahitaji longer explanation naweza tengeneza video ya maelekezo.
 
Machine learning naitaji mm using cpp

Mkuu nimefanya machine learning kwa kutumia R na Java ila still sijiamini kufundisha ile kitu jinsi ilivyo complex, one has to be very comfortable with something ili akifundishe, alafu si rahisi mtu kuelewa coz hata prerequisite yake ni mtu aliye very heavy in statistics, kwa mtu anayetaka machine learning sioni sababu kwa nini asisome kwa kiingereza tu, kufika level hiyo mtu atakua na uwezo wa kujisomea vizuri sana. Kama umeona course moja ya Stanford, Andrew anafundisha vizuri sana hii kitu.
 
Aanze moja KABISA ili kila mtu awe nae mpaka mwisho!

Programming na computer science in general haina mwisho, ni kuendelea siku zote, hata mimi hadi leo najifunza vitu vipya kila siku, sema basics ni muhimu sana ili watu waweze kuandika software ambazo ni fast na space efficient. Nitabase kwenye basics na nitagusia na advanced concepts pia with time hasa ambazo naona wabongo wengi hawafanyi coz wengi software zao nimeona wanabrute force kila kitu.
 
Programming na computer science in general haina mwisho, ni kuendelea siku zote, hata mimi hadi leo najifunza vitu vipya kila siku, sema basics ni muhimu sana ili watu waweze kuandika software ambazo ni fast na space efficient. Nitabase kwenye basics na nitagusia na advanced concepts pia with time hasa ambazo naona wabongo wengi hawafanyi coz wengi software zao nimeona wanabrute force kila kitu.
Unaanza lini sasa ili tujipange kujifunza? Ni muhimu uanze from the scratch ili kwenda na wote...ili wale beginners wasije buruzwa na wanaojua. Ni ombi tu.
 
Ninahitaji kujua watu wangapi wako interested kujifunza programming na ambao wanahisi wakielezwa kwa kiswahili is better kuliko kiingereza. Kama ndio tupia hapa ungependa kujua nini.

Nafikiria kutengeneza Youtube series kwa kiswahili ambayo itakua na playlists mbalimbali zitakazo waintroduce watu kwenye concepts za Java, Android Programming, C++, C, Javascript, Datastructures, common algorithms, Swift n iOS Programming, na ikiwezekana kutengeneza full apps kuanzia mwanzo kabisa hadi completion.

Nafikiria kuifanya kama weekend project ambapo every weekend nitaupload few videos polepole kama itaendelea it will probably take a year or more kumaliza playlists zote hapo juu, sema nataka kujua kama kuna audience even if its 100 people, najua english tutorials zimejaa.

Ukijibu ingependeza ukisema unataka nianzie wapi, kama huna experience kabisa au hujiamini hata kidogo unaweza sema hujui mi ntajua kua unataka nianze mwanzo kabisa kwenye basics
mkuu leta hi kitu ila ni vizuri ikawa kwa english pia uanze na basics then ndo uingie kwe maufundi yenyew..please hata kama mia hatufiki kama tuko wachache wenye nia ya kujifunza tusaidie tu
 
Wazo zuri sana, nimewahi jaribu kwa kuandika through blog, likanijia wazo la video kama hivi... Ila naona ushaniwahi.... Kweli ngoja ngoja inaumiza matumbo... Tafadhali fanya hivyo tunahitaji watu waelewe programming sana bongo na inawezekana, nashauri uanzie mwanzo kabisa, inagawa changamoto itabaki kwenye tafsiri halisi ya maneno ya computing.
mkuu nawewe naona ni mjuzi wa hizo mambo so hizo terminology za computing mtakua mnasaidiana kutuelewesha wengne tusiojua fani hizo i hope tutaelewa tu mkuu
 
Back
Top Bottom