Unataka kujifunza programming?

Unataka kujifunza programming?

Huyu jamaa namuaminia ni moja ya wa tz wachache wenye upendo ....

@Null pointer utafanikiwa sana
 
nina uhitaji wa kujua python programming basics ninazo .
 
Machine learning naitaji mm using cpp
Why not Choose Python or R Over Cpp cause, python has lot of Scienific Libraries(SciPy, numpy) ambazo ukisema uziandike in Cpp itakuwa ni Haed Ache. Pia siku Hizi most dataset ambazo unaweza Uka mine zinakuwa na API(eg World Bank) in python au R rather than cpp.
 
Mkuu ukiweza kuiweka kwa blog yako itakuwa rahisi kufuatilia. halafu ukawa unajibu queries kwenye comments.

Ningetaman sana ungeanza na Python mkuu.
 
Mkuu ukiweza kuiweka kwa blog yako itakuwa rahisi kufuatilia. halafu ukawa unajibu queries kwenye comments.

Ningetaman sana ungeanza na Python mkuu.

Nimechagua kuanza na C mkuu kwa sababu ya uwezo wa C ku~access the machine at a very low level, kuna vitu vya muhimu sana mtu kujua ambavyo vitamsaidia kuelewa languages nyingine huko mbele kwa urahisi zaidi, C sitoingia very advanced ila angalau ntampa mtu basics ntafika hadi kwenye dynamic memory allocation na structures kama linked lists, stacks na queues ambazo najua zinawasumbua wengi sana alafu ntastop, hapo mtu atakua ameshapata a very good grasp ya the idea behind programming and how computers work.

Nikimaliza ntahamia Java ili watu waone jinsi gani hizi higher level languages zinarahisisha maisha, then Android programming at the same time ntakua nafundisha Datastructures na Algorithms ambazo ntazifanya kwa Java.

Hapo baadaye ndio naweza gusia parts nyingine ila sijapanga ntaingia wapi, hopefully web designing hasa kwenye backend either kwa Javascript(Node. js) au Java, sio kwa php, personally sipendi php japo nilijifunza.
 
tupo mkuu we anza tu. tena ingekuwa vizuri ungeanza mwanzo kabisa .
 
Fanya tena hima usichelewe hutapoteza kitu ukianza
 
Wazo zuri sana, nimewahi jaribu kwa kuandika through blog, likanijia wazo la video kama hivi... Ila naona ushaniwahi.... Kweli ngoja ngoja inaumiza matumbo... Tafadhali fanya hivyo tunahitaji watu waelewe programming sana bongo na inawezekana, nashauri uanzie mwanzo kabisa, inagawa changamoto itabaki kwenye tafsiri halisi ya maneno ya computing.
nadhani hujachelewa bado mkuu.. mnaweza fanya kitu cha aina moja but katika namna tofauti.. au mfanye partnership kabisa.. tuna pengo kubwa sana kwenye upande wa IT experts while dunia inatuvuta shati tuwepo huko hata kama hatutaki...
 
Back
Top Bottom