analysti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 729
- 612
Ndugu wana jAmiiF, kama unahitaji ku unlock 3G modem yako ili uweze kutumia laini yoyote at your convinience, basi download hii soft ware. Then Chukua Imei namba ya modem yako inakili pembeni. Halafu Ingiza laini halali ya modem, connect kwenye internet.Then Doubleclick hii software, kuna immei namba itatokea kwenye box juu kushoto, ifute hiyo then ingiza imei namba ya modem yako. Then minya calculate. Then kuna namba zitatokea kwenye box juu kulia named UNLOCK. Zikopi hizo namba. Then disconnect modem na ingiza laini nyingine yoyote, then itademand unlock code, ingiza hizo namba ulizozichukua kwenya unlock box, halafu minya ok. Hapo utakuwa huru kutumia modem yako kwa laini yoyote ile yenye 3G internet.
Download here: Universal MasterCode.zip
Download here: Universal MasterCode.zip