ROGATH MCHAU
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 566
- 1,002
WIMBO UNAITWA EXTRA BALL WA DIBLO DIBALA.Kuna wimbo fulani gitaa linapigwa kama lipo kwenye maji nadhani mpiga gitaa Ni Diblo Dibala, je wimbo huo unaupota Roga Roga?
WIMBO UNAITWA EXTRA BALL WA DIBLO DIBALA.Kuna wimbo fulani gitaa linapigwa kama lipo kwenye maji nadhani mpiga gitaa Ni Diblo Dibala, je wimbo huo unaupota Roga Roga?
HUYO NI PEPE KALE NA AMEIMBA NYIMBO NYINGI SANA KWA KUWEKA KIBWAGIZO HICHO KWENYE ALBUM YA MWAKA 1993 NA ILIYOFUATA YA MWAKA 1994Kuna wimbo flani uliimbwa na aliekua rafiki mkubwa wa papa wemba moja ya vibwagizo vyake ni mama na bela sheli na bela
Extra Ball ni wa Arlus Mabele. Huo wenye guitar kama la kwenye maji unaitwa Lesee paseeWIMBO UNAITWA EXTRA BALL WA DIBLO DIBALA.
MATCHATCHA LASSER PASSERExtra Ball ni wa Arlus Mabele. Huo wenye guitar kama la kwenye maji unaitwa Lesee pasee
Unaitwa NDAYA unaweza ushasha hapa bila wasiwasi
Kipindi hicho wengi walikuwa wakali, walikuwa natural sana. Ukimuona Mbilia Bel wa leo, ni tofauti sana na wa enzi zile japo na Umri unachangiaAfu huyu M'pongo alikuwa pisi Kweli Kweli.Dah!
Jamani kuna wimbo sjui hata alieimba ila kuna maneno tu kama "danse danse eeeee, isa timi konnection............ yoyo owee.........Don't Say Don't Say Eee
Naomba Album nzima ya RAS Alain Kounkou
Mbona alisha niwekea album nzima ya kikosi cha Soukous stars kwani kuna shida gani.Acha mambo yako yaani tu upload album nzima huku? Soma kichwa cha habari..