ketete
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 792
- 793
Kibao Cha papaaa Mathias simaroo lutumba kiitwacho NAKOMA pia mwanamuziki faya tessi amekirudia ila lutumba alikiimba vilivyo pili kibao papa bonheur Cha madilu system na tatu kibao Cha mayaula kinasema sembe sembeee....alewiii yaaani ni balaaa tupu nitumieni papaa rogaroga na papaa bakurutuuu mutu mukubwaOmbeni nyimbo tuwapatie tupo hapa na Roga Roga mutu ya kazi
Huu wimbo umeimbwa na Them MushroomKuna wimbo nauisikia sana kwenye mabendi yetu, Wazee wenzangu hii aliimba nani?
"Tulia wangu mpenzi tulia
tulia nami nipate tulia"
Sasa wakiunganisha wataharibu ule wa kule hakuna kupata nyimbo kwa wakati kama tunavyopata hukuHuu uzi nimeupenda bure lkn soon mods watauunganisha na ule wa 'wimbo gani unaoutafuta bila mafanikio'
Sent using Jamii Forums mobile app
Lunch time si ni hiyo ya Daniel Omolo? Nawashukuru wazazi nimekuwekea version mbili tofautiMkuu kama una wimbo wa nawashukuru wazazi wa DDC mlimani park nauomba
Au mkuki moyoni wa marijan Rajab au lunch time wa les wanyika..nikipata japo mmoja nitashukuru
Sent using Jamii Forums mobile app
zipo nyingi sana. Unge-specfy ipi hasa unaitaka
mkuki moyoniMkuu kama una wimbo wa nawashukuru wazazi wa DDC mlimani park nauomba
Au mkuki moyoni wa marijan Rajab au lunch time wa les wanyika..nikipata japo mmoja nitashukuru
Sent using Jamii Forums mobile app
sikiliza hizo nilizotumaKuna toleo lilitoka miaka 1995/1996 na bado likipigwa nyimbo zake ziko poa sana
Bahati mbaya majina nimesahau
Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho kikiwa na english lyricsKibao Cha papaaa Mathias simaroo lutumba kiitwacho NAKOMA pia mwanamuziki faya tessi amekirudia ila lutumba alikiimba vilivyo pili kibao papa bonheur Cha madilu system na tatu kibao Cha mayaula kinasema sembe sembeee....alewiii yaaani ni balaaa tupu nitumieni papaa rogaroga na papaa bakurutuuu mutu mukubwa