Unasoma BA Archaeology ili uwe Nani?

Unasoma BA Archaeology ili uwe Nani?

Kuwa mpole mzee ..

Kuna nafasi nyingi sana Kwenye hiyo field hasa upande wa Conservation...

NCAA, TANAPA etc...

Wapo wanaopata na kufanikiwa katika kila course... Na wapo wanaochemka kwa maelfu pia kwenye kila course ..

Usikatishe watu tamaa
 
Back
Top Bottom