Wewe Lucas Mwashambwa unashindana na nani ? Unaponda hela za kodi zetu, unashindana na nani?
Kwani huyo jamaa anagombea nafasi gani .?Wewe Lucas Mwashambwa unashindana na nani ? Unaponda hela za kodi zetu, unashindana na nani?
My shadow and me myselfWewe Lucas Mwashambwa unashindana na nani ? Unaponda hela za kodi zetu, unashindana na nani?
Yani jamaa kakaa anamuwaza Lucas mpaka kumuanzishia uzi!Mbona mnampa airtime hivyo. Kuna haja gani ya kumwanzishia Uzi? Wote mngekuwa na akili kama yangu ya kumpuuza na kupiga kimya asipate hata komenti moja kwenye nyuzi zake asingekuwa na impact. Mtu mmoja aanzishe Uzi wa kutochangia comment kwa watu wa aina ya Luka.
Hiyo ni drone ya wanamtandao!Wewe Lucas Mwashambwa unashindana na nani ? Unaponda hela za kodi zetu, unashindana na nani?
ANazidi kumpa mileage. Halafu sikutegemea yeye afanye hivyo. Kule kwa Luka inabidi kuignore tuYani jamaa kakaa anamuwaza Lucas mpaka kumuanzishia uzi!
I hope Lucas atakua proud sana kwa huu uzi.