happyxxx
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 568
- 1,847
Tumshauri Assad ambae kwa sasa amejipambanua kama jabali jipya la siasa za Tanzania. Assad kwa muda mrefu alikuwa amejifunika kwa mwamvuli wa “kufanya kazi kiweledi “ na alifanikiwa kutuaminisha ilo.
Tumpe ushauri agombee urais 2025 kwa chama mnachoona kitamfaa.
Twende kazi.
Tumpe ushauri agombee urais 2025 kwa chama mnachoona kitamfaa.
Twende kazi.