brave Mwafrika
JF-Expert Member
- May 2, 2019
- 213
- 109
Mimi ni mwanafunzi wa kadato cha pili nauliza unapopewa swali la kuandika insha Kama ya watoto wa mitaani kwa maneno yaaiyo zidi 120, mambo yapi ya kuzingatia katika uandishi🙏
Ongeza juhudi na bidii bado uko mbali dogo. Usipende kila kitu kutafuniwa hangaika kwanzaMimi ni mwanafunzi wa kadato cha pili nauliza unapopewa swali la kuandika insha Kama ya watoto wa mitaani kwa maneno yaaiyo zidi 120, mambo yapi ya kuzingatia katika uandishi
Ongeza juhudi na bidii bado uko mbali dogo. Usipende kila kitu kutafuniwa hangaika kwanza