broken hearted boy
Member
- Jul 27, 2018
- 11
- 3
UNCONDITIONAL LOVE
love needs mature mindsHalafu kesho yake, "mtoto ni wa casto sio wa pita"![]()
![]()
![]()
Ndo nitakuwa hivi
naona ukaniwahia siti
hakika babe na vile uko zaidi ya hivo nakupenda mmnaona ukaniwahia siti
halafu chakula kikiiva mara unasema unataka miguu ya kuku wakat hiko chakula kilichopikwa hapo ulikidai aisee za uso zitahusika babehakika babe na vile uko zaidi ya hivo nakupenda mm
halafu chakula kikiiva mara unasema unataka miguu ya kuku wakat hiko chakula kilichopikwa hapo ulikidai aisee za uso zitahusika babe
ntakudunda tu babe hata kwa kanga.....ntakudekeza beb mpaka upaliweMie na kupigwa pigwa nilivyo sipendi usinipige bwana huo ndio wakat ntakudekea kuliko nyakat zingine zozote zile jiandae
ntakudunda tu babe hata kwa kanga.....ntakudekeza beb mpaka upaliwe
me ntaongeza doz tu beb mpaka uwe mwehuAhahahaha et ntakudekeza hata na kanga we babe unidekeze mara ngapi mm
me ntaongeza doz tu beb mpaka uwe mwehu
sitaki uwehuke babeOngeza tu na naona fika naelekea kuchizika u know