Mafwi Munda
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 1,750
- 1,599
Eti ukimuoa changudoa/dada poa, kwa ndoa ya kanisani anatakasika?! Huwa nasikia story yule dada mchafu sana, au ana mapepo, lakini wanaolewa na kua wake wema na kuwa na familia nzuri tu.
Je, ndoa hutakasa au kanisa huosha ule uchafu na kuutakasa?!
Vtangudoa wote uolewa na wanakuja wapya, wale magwiji wameolewa wote. Nilitembelea mitaa fulani nikaulizia wale niliowafahamu waliniita mteja wao zamani, nilimkuta mmija alikywa mdoogo enzi hizo, akaniambia wale wazamani wameshaolewa wote siku hizi wapo wapya.
Je, inakuwaje wakiolewa huu uchangudoa unawaisha?! Ni vipi wanasahau walichokifanya huko zamani?!
Je, ndoa hutakasa au kanisa huosha ule uchafu na kuutakasa?!
Vtangudoa wote uolewa na wanakuja wapya, wale magwiji wameolewa wote. Nilitembelea mitaa fulani nikaulizia wale niliowafahamu waliniita mteja wao zamani, nilimkuta mmija alikywa mdoogo enzi hizo, akaniambia wale wazamani wameshaolewa wote siku hizi wapo wapya.
Je, inakuwaje wakiolewa huu uchangudoa unawaisha?! Ni vipi wanasahau walichokifanya huko zamani?!