Mafwi Munda
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 1,750
- 1,599
- Thread starter
- #41
Hahaha wote wake zetu hupitia huko, sema ukiwa maarufu mambo yako huanikwa hadharani.Mwulize TRUMP maana mke wake alikuwa changu kabla ya yeye kumwopoa katika uchangu wake na yeye akiwa mteja wake wa mara kwa mara. baada ya kunogewa akaamua kumchukua jumla jumla.
Akiwa kwako wako, kabla ya hapo alikuwa mali ya umma.
Bibi alikuwa akiniambia wanawake ni kama viazi hata mwenye mapengo anaweza kula.