Kajuni
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 486
- 186
Mhhh nimechoshwa na thinking in this direction kweli kabisaaaa!!!! kuna nini huku kwenye khukhu??? MBARIKIWE SANA!Wapendwa wadau wa JF,
A'Aleykum/Bwana Yesu asifwe sana.
Naomba leo tusaidiane kama great thinkers, wenye hofu na Mungu. Kama ni wewe unagundua mume wako anafanya mapenzi kinyume cha maumbile na wanaume utafanyaje? Kitendo hiki cha kinyama kimetokea kwa jirani yangu baada ya kukamata message anatuma kwa mpenzi wake wa kiume.
Dada alichofanya alichukua namba ile akai-save kwake na kupiga. Yule kijana akakikiri kwa kusema wameanza siku nyingi na yeye ni mke wa pili wa mumewe, ni miaka 7 sasa wako pamoja wanafurahia penzi lao.
Kibaya zaidi, mwanamke alipotishia kuondoka mumewe akamwambia apange kilicho chake aondoke hana cha kufanya nae.
Nashindwa kuelewa kama huyu mungu tunayemdhihaki hayuko live.
Nawakilisha.
CD