Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
[/COLOR]Yote tisa,kumi wadau naomba tujibu hili swali la Chapakazi tafadhali!
sijui tuanzishe thread kabisa...
[/COLOR]Yote tisa,kumi wadau naomba tujibu hili swali la Chapakazi tafadhali!
Hata DINI linaangalia hili tendo kama ndo dhambi kubwa kuliko hata kutoa mimba, kuua, kuiba, kushindisha watu njaa n.k
Mkuu hii dhambi kwenye bible imeandikwa haisameheki kabisapameandikwa wapi hapo mkuu? Dhambi zote ni sawa...maana adhabu zake yote ni sawa. Tatizo linakuja kuna dhambi nyingine zinaacha imprint na zinakuwa shida kuacha kabisa. Kwa mfano sexual immorality...
Amka wewe hivi vijimambo tu,unazimia hapa siku utamkuta mumeo kaukalia kabisa si utakufa kabisa huku unamuacha mumeo akiendelea kupakatwaNimeshazimia!!!!!!
Mkuu hii dhambi kwenye bible imeandikwa haisameheki kabisa
well said mya dear, ita true tusiwe tunamlalamikia Mungu ka kila jamboCD
Tusimlalamikie Mungu
Kwa maovu yetu kwani
vingi tufanyavyo dunia hii
Ni uchaguzi wetu...
Wapendwa wadau wa JF,
A'Aleykum/Bwana Yesu asifwe sana.
Naomba leo tusaidiane kama great thinkers, wenye hofu na Mungu. Kama ni wewe unagundua mume wako anafanya mapenzi kinyume cha maumbile na wanaume utafanyaje? Kitendo hiki cha kinyama kimetokea kwa jirani yangu baada ya kukamata message anatuma kwa mpenzi wake wa kiume.
Dada alichofanya alichukua namba ile akai-save kwake na kupiga. Yule kijana akakikiri kwa kusema wameanza siku nyingi na yeye ni mke wa pili wa mumewe, ni miaka 7 sasa wako pamoja wanafurahia penzi lao.
Kibaya zaidi, mwanamke alipotishia kuondoka mumewe akamwambia apange kilicho chake aondoke hana cha kufanya nae.
Nashindwa kuelewa kama huyu mungu tunayemdhihaki hayuko live.
Nawakilisha.
CD
pameandikwa wapi hapo mkuu? Dhambi zote ni sawa...maana adhabu zake yote ni sawa. Tatizo linakuja kuna dhambi nyingine zinaacha imprint na zinakuwa shida kuacha kabisa. Kwa mfano sexual immorality...
Firauni lazima nae ____....
Ndugu wana jf, hivi kweli jamani kabisa kabisa yaani kabisa hamuwezi kuacha kuleta mada kama hizi ndani ya jamvi letu???! haaa jamani nachoka kabisa yaani kila mtu anatafuta angle ya kuzungumzia tigo toka jumatatu hadi juma pili?! spare aothers please mod naomba mada zote za tigo weka kwenye sehemu ya kikubwa ili premium members kama wanataka wazifuate huko tafadhari.
Natanguliza shukrani zangu kwenu kwa kutoandika haya mambo.
Mhhh nimechoshwa na thinking in this direction kweli kabisaaaa!!!! kuna nini huku kwenye khukhu??? MBARIKIWE SANA!